Nguto Kitojo
New Member
- May 29, 2013
- 1
- 1
Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Kimezamiria kutwaa ushindi kwa kata zote tisa za kanda ya Kaskazini zitakazoshiriki uchaguzi mdogo wa Madiwani Tarehe 16 mwezi huu.
Mtoa uzi huu aliwasikia kwa karibu katibu wa Kanda ya Kaskazini Amani Golugwa akiwa na Mwenyekiti wa Uchaguzi wa Kanda hiyo ambaye ni Mjumbe wa Halmashauri kuu ya chama hicho na Pia Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema wakipanga mikakati hiyo juzi usiku katika Hotel Moja inayomilikiwa na KKT Mjini Arusha.
Katika Mikakati hiyo wamehusisha na kutawanya wabunge wake machachari na maarufu katika kata hizo huku wazamiria kufunga kampeni kwa Kishindo siku ya Tarehe 15 mwezi huu.
Pia walisikika wakipanga Mawakala wakuu ambapo Katibu Mkuu wa CHADEMA DR. Slaa ndiye atakayekuwa wakala mkuu huko Muheza wakati Freeman Mbowe atakita Arusha kama Wakala Mkuu huku Joshua Nasari akiwa Makuyuni Monduli wakati Tundu Lissu atakuwa Mbulu na Mchungaji Msigwa akiwa Babati huku Lema, Mh Ndesamburo na Golugwa wakifanya Overall Supervision angani kwa kutumia Helicopter.
Tayari wameshapanga makamanda wao watakaowasambaza katika katika hizo katika wiki ya Mwisho ya kampeni wakiwemo wabunge wote wa kanda hiyo kupitia Chadema, Madiwani Machachari na Makamanda Chipukizi lakini wenye ukali wa Hoja na wanaojua kulimiliki jukwaa vilivyo ambao wengi wao wanatajwa kuwania Majimbo mbalimbali 2015
wote kwa pamoja watakuwa wakimwaga sera za chama hicho na kuitia CCM kaburini.
Mtoa uzi huu aliwasikia kwa karibu katibu wa Kanda ya Kaskazini Amani Golugwa akiwa na Mwenyekiti wa Uchaguzi wa Kanda hiyo ambaye ni Mjumbe wa Halmashauri kuu ya chama hicho na Pia Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema wakipanga mikakati hiyo juzi usiku katika Hotel Moja inayomilikiwa na KKT Mjini Arusha.
Katika Mikakati hiyo wamehusisha na kutawanya wabunge wake machachari na maarufu katika kata hizo huku wazamiria kufunga kampeni kwa Kishindo siku ya Tarehe 15 mwezi huu.
Pia walisikika wakipanga Mawakala wakuu ambapo Katibu Mkuu wa CHADEMA DR. Slaa ndiye atakayekuwa wakala mkuu huko Muheza wakati Freeman Mbowe atakita Arusha kama Wakala Mkuu huku Joshua Nasari akiwa Makuyuni Monduli wakati Tundu Lissu atakuwa Mbulu na Mchungaji Msigwa akiwa Babati huku Lema, Mh Ndesamburo na Golugwa wakifanya Overall Supervision angani kwa kutumia Helicopter.
Tayari wameshapanga makamanda wao watakaowasambaza katika katika hizo katika wiki ya Mwisho ya kampeni wakiwemo wabunge wote wa kanda hiyo kupitia Chadema, Madiwani Machachari na Makamanda Chipukizi lakini wenye ukali wa Hoja na wanaojua kulimiliki jukwaa vilivyo ambao wengi wao wanatajwa kuwania Majimbo mbalimbali 2015
wote kwa pamoja watakuwa wakimwaga sera za chama hicho na kuitia CCM kaburini.