mcfm40
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,452
- 3,150
Yaani kata ilikuwa imeshikiliwa na ccm, diwani wao akafariki, uchaguxi ukafanyika upya ccm ikapigwa chini? What happened?
Ndugu zangu ccm bado tuna kazi kuuhisha chama. Nilijua hiyo kata ilikuwa ya chadema kumbe ilikuwa inashikiliwa na CCM?
What a pity! Mwenyekiti anza kufukuza viongozi wa ccm kwenye hiyo kata na hata jimbo!
Haiwezekani zaadi yetu kwa mwenyekiti mpya iwe kupoteza kata. Haiwekani. Fukuza mara moja hawa masalia wa Lowasa! Nimeandika hii kwa niaba ya Lizabon, Tatamadiba, jingalao et al, naona bado wana hangover ya ulabu wa jana baada ya sherehe!
Ndugu zangu ccm bado tuna kazi kuuhisha chama. Nilijua hiyo kata ilikuwa ya chadema kumbe ilikuwa inashikiliwa na CCM?
What a pity! Mwenyekiti anza kufukuza viongozi wa ccm kwenye hiyo kata na hata jimbo!
Haiwezekani zaadi yetu kwa mwenyekiti mpya iwe kupoteza kata. Haiwekani. Fukuza mara moja hawa masalia wa Lowasa! Nimeandika hii kwa niaba ya Lizabon, Tatamadiba, jingalao et al, naona bado wana hangover ya ulabu wa jana baada ya sherehe!