state agent
JF-Expert Member
- Jul 1, 2019
- 1,764
- 2,511
Kupitia Azam UTV naomuona John Mrema akilalamika kuwa wamefanyiwa hujuma na anamuomba Rais John Magufuli kuingilia kati
Hii inaonesha kuwa mtoto amezidiwa na sasa anamuomba baba mzazi aje kwa ninavyomfahamu Rais alivyo mtu wa watu na huruma pia utu atawahakikishia kuondoa zengwe lolote
Nawaomba wanachadema ukishasaidiwa mtokeze hadharani kushukuru.
State agent
Hii inaonesha kuwa mtoto amezidiwa na sasa anamuomba baba mzazi aje kwa ninavyomfahamu Rais alivyo mtu wa watu na huruma pia utu atawahakikishia kuondoa zengwe lolote
Nawaomba wanachadema ukishasaidiwa mtokeze hadharani kushukuru.
State agent