Hii picha ya kamati kuu ya chadema imenishtua kidogo baada ya kuona picha ya rais kikwete ikiwa imetundikwa ukutani na chini ya picha hiyo ya rais wamekaa viongozi wa chadema ktk mkutano wao huko dodoma akiwemo mgombea urais wa chadema dr. W. Slaa!!!
nashindwa kuelewa nini tafsiri yake? Ndio chadema wanaanza kumtambua jk taratibu? Naomba ufafanuzi wa hii picha au hiki kikao kilifanyika ktk ukumbi upi?
nauliza kwa nia njema kabisa, matusi na hasira naomba tuache!
angalia hii picha: View attachment 16780
nashindwa kuelewa nini tafsiri yake? Ndio chadema wanaanza kumtambua jk taratibu? Naomba ufafanuzi wa hii picha au hiki kikao kilifanyika ktk ukumbi upi?
nauliza kwa nia njema kabisa, matusi na hasira naomba tuache!
angalia hii picha: View attachment 16780