johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,754
- 139,561
CHADEMA imetoa shukrani rasmi kwa Rais Samia Suluhu Hassan kwa kitendo cha kumtembelea Tundu Lisu Nairobi hospital alipolazwa baada ya kupigwa risasi na watu wasiojulikana
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe amesema Rais Samia akiwa Makamu wa Rais wa Magufuli wakati huo alionesha ujasiri na Upendo wa kipekee kwa Makamu Mwenyekiti wetu Tundu Lissu.
Kipekee kabisa CHADEMA tunatoa tuzo ya shukrani kwa Rais Samia na tunamuahidi ushirikiano katika ujenzi wa taifa.
Ukinizingua Nitakuzingua
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe amesema Rais Samia akiwa Makamu wa Rais wa Magufuli wakati huo alionesha ujasiri na Upendo wa kipekee kwa Makamu Mwenyekiti wetu Tundu Lissu.
Kipekee kabisa CHADEMA tunatoa tuzo ya shukrani kwa Rais Samia na tunamuahidi ushirikiano katika ujenzi wa taifa.
Ukinizingua Nitakuzingua