Kakke
JF-Expert Member
- Dec 4, 2010
- 1,883
- 1,482
| ||||||||
| ||||||||
Ngoja waje wenye chama chao watakujibu
- Habari za Tanzania Daima, yaani tawi la propaganda la Chadema, lingekwua gazeti lingine kweli!!, Mkurugenzi wa gazeti mke wa MWenyekiti wa Chadema, ulitegemea nini kutoka hilo gazeti? ha! ha1 ha!
Le Mutuz!!
hivi una akili kweli wewe ku quote lihabari looote hili. Unaboa watumia simu. Jirekebishe
- Wangesema Chadema yajikoroga yenyewe ndio maana wajumbe wa mkutano wa chama wamemgomea Slaa, sasa hapa Chadema inamchanganya mtu au inajicanganya yenyewe? ha! ha1
Le Mutuz!
Jitu puuzi kweli ulitaka habari ichapishwe na uhuru au habari leo ndiyo uliamini, mwambie mzee wako tunamdai watanzania kwa ufisadi wake...- Habari za Tanzania Daima, yaani tawi la propaganda la Chadema, lingekwua gazeti lingine kweli!!, Mkurugenzi wa gazeti mke wa MWenyekiti wa Chadema, ulitegemea nini kutoka hilo gazeti? ha! ha1 ha!
Le Mutuz!!
Vipi fisadi Malecela bado anandoto ya kulitawala taifa hili maana naona harakati zakumweke mama na mwana zimedunda ila kafanikiwa na kupiga picha na mastaa wa kibongo...- Wangesema Chadema yajikoroga yenyewe ndio maana wajumbe wa mkutano wa chama wamemgomea Slaa, sasa hapa Chadema inamchanganya mtu au inajicanganya yenyewe? ha! ha1
Le Mutuz!
tupe fact kuwa ni propaganda.......usitupe majibu hewa.....onesha uongo uko wap kwenye kauli za lissu- Habari za Tanzania Daima, yaani tawi la propaganda la Chadema, lingekwua gazeti lingine kweli!!, Mkurugenzi wa gazeti mke wa MWenyekiti wa Chadema, ulitegemea nini kutoka hilo gazeti? ha! ha1 ha!
Le Mutuz!!
Come to your sense jibu hoja ni magazeti una amini?Beside wewe ulisema huitaki JF what brought you back here unachiua ustaarabu kaka .Zenu gitaa na kidiuku rudi kweli .Let me ask a ban for you mwaka nzima urudi Facebook- Habari za Tanzania Daima, yaani tawi la propaganda la Chadema, lingekwua gazeti lingine kweli!!, Mkurugenzi wa gazeti mke wa MWenyekiti wa Chadema, ulitegemea nini kutoka hilo gazeti? ha! ha1 ha!
Le Mutuz!!
kodi yangu ndo inakufanya ucheke kwa dharau. Mi nimekwambia lingine nawe unakuja na tofauti. Sane? Insane?