Mlengo wa Kati
JF-Expert Member
- Feb 16, 2011
- 2,730
- 492
Hahahah propaganda za kishamba kabisa sasa Chadema inahusika vipi na mishahara? Acheni ujinga nyie mnataka kufanya watu wajinga hapa JF! Mnataka sifa zisizo wahusu eti chadema imeleta Neema?
Jamani penye Haki na itolewe. Tangu nimeajiriwa serikalini mwezi April 2009, ni mwezi mmoja tu March 2010 ndio nilipata mshahara wangu tar 31, miezi mingine yote ni avarage ya tarehe 25-27 na kuna miezi mshahara unaingia tarehe 23 au 22. Ndio serikali ya JK haija2fanyia mengi mema wa2mishi wake lakini kwenye hili la mishahara, inatoka kwa wakati. Hata last month watumishi wa ofisi yetu 2mepata salary B4 Easter which was 24th.
Na kwa kudhibitisha hilo baadhi ya watumishi wa wizara wa afya mishahara imeshaingia leo tar 17/05.
Hapo kwenye Red kuna Shaka...Mkuu kwa halmashauri niliyopo mimi mishahara hupokelewa hadi tarehe 34. Sijawahi kuona mtu anapata hizo siku ulizotaja. Kwa serikali kuu kuna idara walikuwa wanajazwa fedha tarehe 18 lakini siku za karibuni inafika hadi 25.
Nimeipenda hiyo ya wana CCM kusubiri zaidi ya siku 5. Haya majamaa huwa yanaweka shida nyuma, CCM mbele
Pigeni kelele, tuiteni wajinga lakini wengine tumeshakula mishahara tangu juzi kitu ambacho hakijapata kutokea tangu nchi ipate uhuru. Big up ZittoHahahah propaganda za kishamba kabisa sasa Chadema inahusika vipi na mishahara? Acheni ujinga nyie mnataka kufanya watu wajinga hapa JF! Mnataka sifa zisizo wahusu eti chadema imeleta Neema?
Shaka yako iko wapi? waulize wahisika watakwambia ukweliHapo kwenye Red kuna Shaka...
Ha ha ha matusi yanatoka wapi? Nimesema mishahara ilikuwa inachelewa sio mlikuwa hamlipwi. Tatizo lenu mnadhani waliopo serikalini wote ni wana CCM. Laiti mngejua mngefanya mchujo mtuondoe wote tuliopo upinzani ambao tupo zaidi ya 80% Mna kazi ndugu zanguuna haili kama mtoto wa chekechea, chaedema na mishahara wapi na wapi? Miaka yote chaderma walikuepo watumishi tulikuwa hatuklipwi? Usilete siasa katika mikataba ya watu wewe piga domo lako huko huko na uache kuingilia mambo ya serikali,aandaeni jeshi mfanye mapinduzi kwa kuwa mnahamasisha kumwaga damu na kuvunja sheria huku mkidai katiba sijui katiba gani ambayo itawaruhusu watu kuvamia maduka na biashara za watu kwa kuwa wamelala njaa? Nyote mnanuka damu hamfai
Tuwaite MafalisayoSasa hao wanaojifanya kutoona jitihada za chadema tuwaiteje?
Wanaonuka Damu Ni Mapolisi wa jk wanavyoua Raia wake. Siku ya Wabaya itafika mtakosa pa kukimbilia Damu inahamasishwa kumwagwa au Nyie ndio huamua kuua na kumwaga Damu??? Una akili za kufundishwa? Tumia na Zako... Yaani muharibu nchi mijizi nyie mafisadi nyie wazurumati nyie!!! Sasa wenyewe Tuanitaka iwe swafi na tuwafikishe kwenye haki..una haili kama mtoto wa chekechea, chaedema na mishahara wapi na wapi? Miaka yote chaderma walikuepo watumishi tulikuwa hatuklipwi? Usilete siasa katika mikataba ya watu wewe piga domo lako huko huko na uache kuingilia mambo ya serikali,aandaeni jeshi mfanye mapinduzi kwa kuwa mnahamasisha kumwaga damu na kuvunja sheria huku mkidai katiba sijui katiba gani ambayo itawaruhusu watu kuvamia maduka na biashara za watu kwa kuwa wamelala njaa? Nyote mnanuka damu hamfai
Mijizi Nyie, Wezi Nyie Wachakachuaji Nyie Wavunja Amani Nyie Wazudhulumaji Nyie... Wala Rushwa Nyie Wavunja Sheria Nyie .... Sasa iweje Mseme Chadema Wanahubiri Uvunjaji wa Sheria Wakti nyie ndio Walimu Wakuu.una haili kama mtoto wa chekechea, chaedema na mishahara wapi na wapi? Miaka yote chaderma walikuepo watumishi tulikuwa hatuklipwi? Usilete siasa katika mikataba ya watu wewe piga domo lako huko huko na uache kuingilia mambo ya serikali,aandaeni jeshi mfanye mapinduzi kwa kuwa mnahamasisha kumwaga damu na kuvunja sheria huku mkidai katiba sijui katiba gani ambayo itawaruhusu watu kuvamia maduka na biashara za watu kwa kuwa wamelala njaa? Nyote mnanuka damu hamfai
Kwani fedha zote za kampeni ya CCM zilitoka hazina? Serikali haina fedha watu wanazo. Si inaweza kukopa benki kama ilivyozoea?kama hazina haina fedha wanazitoa wapi hizo za kuwahisha mishara naona kama haijakaa vizuri hapo