Katika mfululizo wake wa maanadamano na mikutano Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimefanikiwa kuishinikiza serikali kulipa mishahara ya watumishi wake mapema.
Akiwa katika mji wa Vwawa wilayani Mbozi Mkoa wa Mbeya, Naibu Katibu Mkuu wa Chadema Zitto kabwe alifyatua bomu kuwa serikali ilikopa toka benkio mishahara ya kuwalipa wafanyakazi na kuwafanya wawe hawajalipwa mpaka tarehe 7/5. Itakumbukwa kuwa Mh Waziri wa fedha alikuja juu na kupinga kauli hiyo ya Zitto kwa kumwita sio mzalendo na kuwa serikali inazo fedha za ziada.
Taarifa toka chanzo huru zinasema serikali imesambaza waraka kwa wakuu wa idara hasa wakurugenzi wa halmashauri na manispaa zote ikiwataka kuhakikisha watumishi wote wawe wamelipwa mishahara yao ifikapo tarehe 25 ya Mwezi huu. Barua hiyo imeeleza wazi kuwa hazina imekauka kabisa lakini wakurugenzi wafanye vyovyote itakavywezekana ili watumishi wawe wamelipwa ifikapo siku hiyo.
My take;Wale wote wanaobeza harakati na mikutano ya chadema wajue kuwa hata kama serikali yanawaumiza wachache lakini yanawanufaisha wananchi wengi wasio na watetezi. Big up Zitto, big up Chadema. Pipoz Powaaaaaaa!
Akiwa katika mji wa Vwawa wilayani Mbozi Mkoa wa Mbeya, Naibu Katibu Mkuu wa Chadema Zitto kabwe alifyatua bomu kuwa serikali ilikopa toka benkio mishahara ya kuwalipa wafanyakazi na kuwafanya wawe hawajalipwa mpaka tarehe 7/5. Itakumbukwa kuwa Mh Waziri wa fedha alikuja juu na kupinga kauli hiyo ya Zitto kwa kumwita sio mzalendo na kuwa serikali inazo fedha za ziada.
Taarifa toka chanzo huru zinasema serikali imesambaza waraka kwa wakuu wa idara hasa wakurugenzi wa halmashauri na manispaa zote ikiwataka kuhakikisha watumishi wote wawe wamelipwa mishahara yao ifikapo tarehe 25 ya Mwezi huu. Barua hiyo imeeleza wazi kuwa hazina imekauka kabisa lakini wakurugenzi wafanye vyovyote itakavywezekana ili watumishi wawe wamelipwa ifikapo siku hiyo.
My take;Wale wote wanaobeza harakati na mikutano ya chadema wajue kuwa hata kama serikali yanawaumiza wachache lakini yanawanufaisha wananchi wengi wasio na watetezi. Big up Zitto, big up Chadema. Pipoz Powaaaaaaa!