Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 225,247
- 856,556
Gazeti la Majira leo lina kichwa cha habari kisemacho.....................Chadema yalaani kuzuiwa mikutano....................................
Huku gazeti la Tanzania Daima nalo lasema.............................Chadema;Hatukubali kunyamazishwa.......................................Yote haya yatokana na polisi kuwazuia kufanya mikutano ya kuwashukuru wapigakura wao na kuwaelezea mkasa mzima wa jinsi NEC ilivyowapora ushindi wa Uraisi................................
Kwa nchi inayofuata demokrasia hii ni aibu kwa serikali ya CCM iliyopo madarakani kuwazuia Chadema kufaidi haki yao ya kimsingi ya kufanya mikutano ambayo ni haki ya kikatiba...........................
Huku gazeti la Tanzania Daima nalo lasema.............................Chadema;Hatukubali kunyamazishwa.......................................Yote haya yatokana na polisi kuwazuia kufanya mikutano ya kuwashukuru wapigakura wao na kuwaelezea mkasa mzima wa jinsi NEC ilivyowapora ushindi wa Uraisi................................
Kwa nchi inayofuata demokrasia hii ni aibu kwa serikali ya CCM iliyopo madarakani kuwazuia Chadema kufaidi haki yao ya kimsingi ya kufanya mikutano ambayo ni haki ya kikatiba...........................