zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
Katika hotuba iliyosomwa na kambi ya upinzani na Mbunge wa Chadema Mheshimiwa Halima Mdee, amekiri wazi wazi kuwa CHADEMA wanaongozwa na Mfumo Kristo na ameahidi "ipo siku tutaifikia Nchi ya Ahadi!".
Ikumbukwe kuwa mafundisho ya Kikristo yanasema "Safari ya wana wa Israeli toka Misri hadi katika nchi ya ahadi, tunaweza kuifananisha na maisha ya kiroho ya kanisa, au tuseme maisha ya kikristo."
Source: http://www.mwakasege.org/mafundisho/mtendaji/mtendaji-2.htm
Hayawi hayawi, yamekuwa! leo Halima Mdee kaamuwa kuyaweka wazi na hansard zimerikodi na hiyo hotuba hata humu JF ipo.
Hakuna mafundisho ya nchi ya ahadi zaidi ya kufananishwa na maisha ya kiroho ya kanisa na ndiyo imani ya CHADEMA kama ilivyowasilishwa Bungeni.
Nilikuwa sitaki kuamini kuwa Chadema ni kweli chama cha Kikristo kwa kuwa tu kina uhusiano na CDU lakini leo Halima Mdee kanihakikishia kwa hotuba yake rasmi bungeni.
Waislaam kuweni macho sana na hiki chama kimekuja kwa nia moja tu, ipi zaidi ya aliyoiweka wazi Halima Mdee? kuwa "ipo siku tutaifikia Nchi ya Ahadi!". Kauli hiyo katika mafundishao ya Kikristo inamaanisha kufikia "maisha ya kiroho ya kanisa, au tuseme maisha ya kikristo".
Ushahidi: http://www.mwakasege.org/mafundisho/mtendaji/mtendaji-2.htm
Ikumbukwe kuwa mafundisho ya Kikristo yanasema "Safari ya wana wa Israeli toka Misri hadi katika nchi ya ahadi, tunaweza kuifananisha na maisha ya kiroho ya kanisa, au tuseme maisha ya kikristo."
Source: http://www.mwakasege.org/mafundisho/mtendaji/mtendaji-2.htm
Hayawi hayawi, yamekuwa! leo Halima Mdee kaamuwa kuyaweka wazi na hansard zimerikodi na hiyo hotuba hata humu JF ipo.
Hakuna mafundisho ya nchi ya ahadi zaidi ya kufananishwa na maisha ya kiroho ya kanisa na ndiyo imani ya CHADEMA kama ilivyowasilishwa Bungeni.
Nilikuwa sitaki kuamini kuwa Chadema ni kweli chama cha Kikristo kwa kuwa tu kina uhusiano na CDU lakini leo Halima Mdee kanihakikishia kwa hotuba yake rasmi bungeni.
Waislaam kuweni macho sana na hiki chama kimekuja kwa nia moja tu, ipi zaidi ya aliyoiweka wazi Halima Mdee? kuwa "ipo siku tutaifikia Nchi ya Ahadi!". Kauli hiyo katika mafundishao ya Kikristo inamaanisha kufikia "maisha ya kiroho ya kanisa, au tuseme maisha ya kikristo".
Ushahidi: http://www.mwakasege.org/mafundisho/mtendaji/mtendaji-2.htm