Nanyaro Ephata
JF-Expert Member
- Jan 22, 2011
- 1,221
- 1,788
Chadema wamekabidhi rasmi hundi yenye dhamani ya 5mil kwa familia ya hayati Denis,tukio hilo limefanyika leo,ingawa familia ya Ismail hawakuwepo baada ya wao wenyewe kujikoroga.Hayati denis alikuwa na watoto wawili ambao kila mmoja amefunuliwa akaunti na kuwekewa milion moja na nusu,na milioni mbili kukabidhiwa kwa msimamizi wa miradhi aliyeteuliwa na familia