CHADEMA yajizatiti ngazi ya Uongozi katika Vyuo Vikuu mbalimbali nchini

Troll JF

JF-Expert Member
Feb 6, 2015
7,806
12,221
Habari Makamanda!!!!

Kuwekeza katika Vijana ni Muhimu pia katika Vyama kwani inasaidia Succession Plan kizazi Kimoja Kinaachia Kizazi Kingine kwani Akina Mbowe, Mdee Mrema na hata akina Lowassa na Sumaye wanaweza Wasiwepo. Mawapongeza Chadema kwa Kujiamarisha Kiuongozi ngazi ya Vyuo Vikuu.

Viongozi wa Chama katika baadhi ya Vyuo.

(i) University of Dodoma ni Eliakimu Masawe

(ii) Chuo Kishiriki cha MWENGE ni Glory Masawe

(iii) Sokoine University of Agriculture (SUA) ni Elimwema Mushi

(iv) Chuo Kishiriki cha DUCE ni Thadeus Kimaro

(v) Chuo Kikuu cha MZUMBE ni Jackson Mlaki

(vi) Chuo cha Teknolojia Dar es salaam (DIT) Pendael Mroso

(vii) Chuo kikuu Cha Mtakatifu Joseph (ST JOSEPH) Deogratius Muro

(viii) Chuo Kikuu kishiriki cha JORDAN
UNIVERSITY ni Neema Temu
.
(ix) Chuo kikuu Cha Mtakatifu John (ST
JOHN) ni Aggrey Assenga

(X)Chuo Kikuu Cha Ardhi ni Elikunda Mrema

(XI) Arusha Institute Of Accountancy ni Frank Tarimo

(XII) Moshi Cooperative University ni Abraham Towo
 
Ni hatua nzuri sana katika KUKITA MIZIZI YA CHAMA.Ni hatua ya kujivunia
 
Huyo ni Troll JF au wameiba I d yako mkuu?! Ukiona giza imekolea basi alfajiri ni karibu!!
 
u
Habari Makamanda!!!!

Kuwekeza katika Vijana ni Muhimu pia katika Vyama kwani inasaidia Succession Plan kizazi Kimoja Kinaachia Kizazi Kingine kwani Akina Mbowe, Mdee Mrema na hata akina Lowassa na Sumaye wanaweza Wasiwepo. Mawapongeza Chadema kwa Kujiamarisha Kiuongozi ngazi ya Vyuo Vikuu.

Viongozi wa Chama katika baadhi ya Vyuo.

(i) University of Dodoma ni Eliakimu Masawe

(ii) Chuo Kishiriki cha MWENGE ni Glory Masawe

(iii) Sokoine University of Agriculture (SUA) ni Elimwema Mushi

(iv) Chuo Kishiriki cha DUCE ni Thadeus Kimaro

(v) Chuo Kikuu cha MZUMBE ni Jackson Mlaki

(vi) Chuo cha Teknolojia Dar es salaam (DIT) Pendael Mroso

(vii) Chuo kikuu Cha Mtakatifu Joseph (ST JOSEPH) Deogratius Muro

(viii) Chuo Kikuu kishiriki cha JORDAN
UNIVERSITY ni Neema Temu
.
(ix) Chuo kikuu Cha Mtakatifu John (ST
JOHN) ni Aggrey Assenga

(X)Chuo Kikuu Cha Ardhi ni Elikunda Mrema

(XI) Arusha Institute Of Accountancy ni Frank Tarimo

(XII) Moshi Cooperative University ni Abraham Towo
UMETAJA VYUO 12 tu. VIPI UDSM,MUCOBS,
NK. HAO ULIOWATAJA NI VIONGOZI KATIKA NGAZI IPI? UNAWEZA KULETA MAJINA YA WALIOWAPIGIA KURA UNAWEZA KUYAWEKA HAPA? OTHERWISE YOU ARE PATHETIC ENOUGH
 
Habari Makamanda!!!!

Kuwekeza katika Vijana ni Muhimu pia katika Vyama kwani inasaidia Succession Plan kizazi Kimoja Kinaachia Kizazi Kingine kwani Akina Mbowe, Mdee Mrema na hata akina Lowassa na Sumaye wanaweza Wasiwepo. Mawapongeza Chadema kwa Kujiamarisha Kiuongozi ngazi ya Vyuo Vikuu.

Viongozi wa Chama katika baadhi ya Vyuo.

(i) University of Dodoma ni Eliakimu Masawe

(ii) Chuo Kishiriki cha MWENGE ni Glory Masawe

(iii) Sokoine University of Agriculture (SUA) ni Elimwema Mushi

(iv) Chuo Kishiriki cha DUCE ni Thadeus Kimaro

(v) Chuo Kikuu cha MZUMBE ni Jackson Mlaki

(vi) Chuo cha Teknolojia Dar es salaam (DIT) Pendael Mroso

(vii) Chuo kikuu Cha Mtakatifu Joseph (ST JOSEPH) Deogratius Muro

(viii) Chuo Kikuu kishiriki cha JORDAN
UNIVERSITY ni Neema Temu
.
(ix) Chuo kikuu Cha Mtakatifu John (ST
JOHN) ni Aggrey Assenga

(X)Chuo Kikuu Cha Ardhi ni Elikunda Mrema

(XI) Arusha Institute Of Accountancy ni Frank Tarimo

(XII) Moshi Cooperative University ni Abraham Towo

Kwa mtindo huu ipo kazi kujiimarisha..!
 
Haya umeeleweka kusudi lako na nia yako..Kumbuka kumuomba Mungu akuondolee huo mtazamo ulio nao ndani yako..Kumbuka Tanzania ni moja na kamwe hamuwezi kutugawa kwa misingi ya kuchafua chama fulani kwamba ni cha kikabila kama ulivyokuwa umekusudia,kutugawa kwa dini kama mlivyoshindwa kufanikiwa kwenye chama Fulani au kutugawa kwa kanda..tuepuke hizo siasa za chuki na majitaka...
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom