mpemba mbishi
JF-Expert Member
- Nov 27, 2011
- 1,132
- 185
Mimi binafsi nitashiriki moja kwa moja na kwa makusudi kabisa kuhakikisha kwamba Chadema hawalipati hili jimbo. Alaaaaah wapi na wapi Zanzibar na habari za Chadema ambao wanachama wake kila siku wanaukejeli Uislamu hapa JF, wanataka kumleta David Cameroun ndani ya visiwa vyetu! Shame on them. Zanzibar Daimaa mbele. Am proud to be Zanzibar.