Neema William
Senior Member
- Jan 3, 2012
- 171
- 76
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA tayari imeweka mipango kabambe ya kuingia jimbo la Uzini zanzibar kumnadi Mgombea wao katika nafasi ya ubunge.
hata Hivyo kuna tetesi kuwa kutokana na mgogorowaunaofukuta ndani kwa ndani kati ya mgombea wa Ubunge wa CCM bwana Raza ndani ya CCM huku wengi wakihoji kuhusu uraia wake wazanzibar wameanza kumkataa , hiyo pekee inaweza kuwapa upenyo mzuri CHADEMA kuishambulia Uzini.
Hata hivyo pamoja na CHADEMA kuweka mipango kabambe huku ikitegemea sana baraza la Vijana wa chadema BAVICHA , inafanya kazi nzuri ili kushinda jimbo hilo.
Kampeni za chadema zinaanza Rasmi tarehe 29, siku moja kabla ya uzinduzi wa CCM ambapo bado chadema inazidi kuwainua walimu kwani katika uchaguzi mdogo jimbo la igumnga mgombea alikuwa mwalimu Joseph Kashindya na hata Uzini nako mgombea aliyeteuliwa ni mwalimu Ally Mbarouk Mshinda,
muhimu ni chadema kushinda na si kushiriki uchaguzi
hata Hivyo kuna tetesi kuwa kutokana na mgogorowaunaofukuta ndani kwa ndani kati ya mgombea wa Ubunge wa CCM bwana Raza ndani ya CCM huku wengi wakihoji kuhusu uraia wake wazanzibar wameanza kumkataa , hiyo pekee inaweza kuwapa upenyo mzuri CHADEMA kuishambulia Uzini.
Hata hivyo pamoja na CHADEMA kuweka mipango kabambe huku ikitegemea sana baraza la Vijana wa chadema BAVICHA , inafanya kazi nzuri ili kushinda jimbo hilo.
Kampeni za chadema zinaanza Rasmi tarehe 29, siku moja kabla ya uzinduzi wa CCM ambapo bado chadema inazidi kuwainua walimu kwani katika uchaguzi mdogo jimbo la igumnga mgombea alikuwa mwalimu Joseph Kashindya na hata Uzini nako mgombea aliyeteuliwa ni mwalimu Ally Mbarouk Mshinda,
muhimu ni chadema kushinda na si kushiriki uchaguzi