CHADEMA yajipanga kushinda uchaguzi Uzini na si kushiriki

Neema William

Senior Member
Jan 3, 2012
171
76
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA tayari imeweka mipango kabambe ya kuingia jimbo la Uzini zanzibar kumnadi Mgombea wao katika nafasi ya ubunge.

hata Hivyo kuna tetesi kuwa kutokana na mgogorowaunaofukuta ndani kwa ndani kati ya mgombea wa Ubunge wa CCM bwana Raza ndani ya CCM huku wengi wakihoji kuhusu uraia wake wazanzibar wameanza kumkataa , hiyo pekee inaweza kuwapa upenyo mzuri CHADEMA kuishambulia Uzini.

Hata hivyo pamoja na CHADEMA kuweka mipango kabambe huku ikitegemea sana baraza la Vijana wa chadema BAVICHA , inafanya kazi nzuri ili kushinda jimbo hilo.

Kampeni za chadema zinaanza Rasmi tarehe 29, siku moja kabla ya uzinduzi wa CCM ambapo bado chadema inazidi kuwainua walimu kwani katika uchaguzi mdogo jimbo la igumnga mgombea alikuwa mwalimu Joseph Kashindya na hata Uzini nako mgombea aliyeteuliwa ni mwalimu Ally Mbarouk Mshinda,

muhimu ni chadema kushinda na si kushiriki uchaguzi
 
All the best CDM. Msihofu mtaji wa CUF, ni kama ule ule wa Igunga.
 
Hawawezi kushinda,na hivi wafuasi wao kutwa wanavyokejeli waislamu humu ndani ndio kabisaaa.
 
Bravo CDM, kwa mara ya kwanza chama cha upinzani kinasimamisha mgombea zanzibar. Tunajua CUF ni chama tawala Zanzibar.
 
Hawawezi kushinda,na hivi wafuasi wao kutwa wanavyokejeli waislamu humu ndani ndio kabisaaa.
Mambo ya udini kamwulize Kikwete! chadema ni chama cha watanzania wazalendo, hakuna udini, ukabila wala rangi.
Wazanzibari waelewe kuwa Kumchagua mtu kwa rangi yake, udini wake, au uraia wake ni dhambi kubwa sana mbele za mungu na wanadamu. wahakikishe wanamchagua kiongozi atakayewasaidia matatizo yao, huyo mtu hawezi kupatikana pengine popote isipokuwa chadema, chama ambacho kimewafunda viongozi na wanachama wake wakafundika kweli! wapo kwa ajili ya wananchi siyo kwa ajili yao au kwa ajili ya wageni!
Ukombozi wa nchi unahitaji mshikamano wa watu wote kuhakikisha chadema inachukua utawala wa nchi hii, ili wananchi waonje na kufaidi matunda ya nchi yao iliyonyonywa na wezi wa mali ya umma chini ya serikali ya ccm yapata miaka 50 sasa baada ya uhuru.
 
Mambo ya udini kamwulize Kikwete! chadema ni chama cha watanzania wazalendo, hakuna udini, ukabila wala rangi.
Wazanzibari waelewe kuwa Kumchagua mtu kwa rangi yake, udini wake, au uraia wake ni
dhambi kubwa sana mbele za mungu na
wanadamu. wahakikishe wanamchagua
kiongozi atakayewasaidia matatizo yao, huyo
mtu hawezi kupatikana pengine popote
isipokuwa chadema, chama ambacho
kimewafunda viongozi na wanachama wake
wakafundika kweli! wapo kwa ajili ya
wananchi siyo kwa ajili yao au kwa ajili ya
wageni!

Ukombozi wa nchi unahitaji mshikamano wa watu wote kuhakikisha chadema inachukua utawala wa nchi hii, ili wananchi waonje na kufaidi matunda ya nchi yao iliyonyonywa na wezi wa mali ya umma chini ya serikali ya ccm yapata miaka 50 sasa baada ya uhuru.

Hivi kwani ni siri kama waislamu huwa wanakejeliwa humu ndani??au utaniambia we huwa hauoni washabiki wa chadema wakiwakejeli??
Leo mnataka kura mnajifanya wamoja??
 
Hacha kuingiza masuala ya udini wewe na kupandandikiza mbegu ya sumu kwa watanzania

Ningependa hili jibu ungekuwa unawapa wale wanaowaita waislamu sijui wana elimu ya madrasa,wanywa kahawa,na bla bla kama hizo.
 
kwakweli zanzibar tunastahili kupata majimbo na kwa namna ninavyoamini bavicha chini ya kamanda heche itakua swafi,tuna prof.safari naye ndiye atakuwa mwalim wa kutuelekeza njia zpi za kupta naye prof.baregu atatupa tathimin kadri kaz inavyokwenda.nafurahi kuona sasa mgombea toka cdm anacmama kidete.
 
Udini huwa ni kimbilio la wanasiasa walioshiwa hoja. Sijui mpaka hapa tulipo ni wanasiasa wa chama gani walioishiwa hoja?
 
Jina tu lenyewe ni Mwalimu Kashinda, tayari jimbo la kwanza hilo kwa CDM!! Lets wait and see, watu watatema hadi watu mkimbie humu.
 
CHADEMA ni sharti kifikishe demokrasia ya kweli na utetezi wa HESHMA NA UTU WA MTANZANIA jimboni Uzini Visiwani Zanzibar kwa nguvu zote.

BAVICHA tawi la visiwani, tunajua fika mapigo yenu kama mlivyofanya kule Igunga; ngome inogile kwa siasa za mtu kwa mtu na chumba kwa chumba mpaka CCM kije kishangae na roho yake mambo yatakvyokua hapo mbeleni kidogo.


Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA tayari imeweka mipango kabambe ya kuingia jimbo la Uzini zanzibar kumnadi Mgombea wao katika nafasi ya ubunge.

hata Hivyo kuna tetesi kuwa kutokana na mgogorowaunaofukuta ndani kwa ndani kati ya mgombea wa Ubunge wa CCM bwana Raza ndani ya CCM huku wengi wakihoji kuhusu uraia wake wazanzibar wameanza kumkataa , hiyo pekee inaweza kuwapa upenyo mzuri CHADEMA kuishambulia Uzini.

Hata hivyo pamoja na CHADEMA kuweka mipango kabambe huku ikitegemea sana baraza la Vijana wa chadema BAVICHA , inafanya kazi nzuri ili kushinda jimbo hilo.

Kampeni za chadema zinaanza Rasmi tarehe 29, siku moja kabla ya uzinduzi wa CCM ambapo bado chadema inazidi kuwainua walimu kwani katika uchaguzi mdogo jimbo la igumnga mgombea alikuwa mwalimu Joseph Kashindya na hata Uzini nako mgombea aliyeteuliwa ni mwalimu Ally Mbarouk Mshinda,

muhimu ni chadema kushinda na si kushiriki uchaguzi
 
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA tayari imeweka mipango kabambe ya kuingia jimbo la Uzini zanzibar kumnadi Mgombea wao katika nafasi ya ubunge.

hata Hivyo kuna tetesi kuwa kutokana na mgogorowaunaofukuta ndani kwa ndani kati ya mgombea wa Ubunge wa CCM bwana Raza ndani ya CCM huku wengi wakihoji kuhusu uraia wake wazanzibar wameanza kumkataa , hiyo pekee inaweza kuwapa upenyo mzuri CHADEMA kuishambulia Uzini.

Hata hivyo pamoja na CHADEMA kuweka mipango kabambe huku ikitegemea sana baraza la Vijana wa chadema BAVICHA , inafanya kazi nzuri ili kushinda jimbo hilo.

Kampeni za chadema zinaanza Rasmi tarehe 29, siku moja kabla ya uzinduzi wa CCM ambapo bado chadema inazidi kuwainua walimu kwani katika uchaguzi mdogo jimbo la igumnga mgombea alikuwa mwalimu Joseph Kashindya na hata Uzini nako mgombea aliyeteuliwa ni mwalimu Ally Mbarouk Mshinda,

muhimu ni chadema kushinda na si kushiriki uchaguzi

Hivyo Zanzibar inatambuliwa na CHADEMA? Samahani nauliza hivyo baada ya kuona ujumbe uliokwenda kumuona Rais Kikwete kule Ikulu. Maneno bila vitendo si uungwana!
 
Mambo ya udini kamwulize Kikwete! chadema ni chama cha watanzania wazalendo, hakuna udini, ukabila wala rangi.
Wazanzibari waelewe kuwa Kumchagua mtu kwa rangi yake, udini wake, au uraia wake ni dhambi kubwa sana mbele za mungu na wanadamu. wahakikishe wanamchagua kiongozi atakayewasaidia matatizo yao, huyo mtu hawezi kupatikana pengine popote isipokuwa chadema, chama ambacho kimewafunda viongozi na wanachama wake wakafundika kweli! wapo kwa ajili ya wananchi siyo kwa ajili yao au kwa ajili ya wageni!
Ukombozi wa nchi unahitaji mshikamano wa watu wote kuhakikisha chadema inachukua utawala wa nchi hii, ili wananchi waonje na kufaidi matunda ya nchi yao iliyonyonywa na wezi wa mali ya umma chini ya serikali ya ccm yapata miaka 50 sasa baada ya uhuru.

Bahati mbaya mtazamo wako hauendi na hao wanachama wa CHADEMA huku. Tatizo la Zanzibar Siasa kwao si jambo la kulifanyia majaribio na hilo CDM inabidi watambue!
 
Kwangu sihesabu ushindi wa CDM kama kuchukua jimbo, ila wakipata walau 10% ya kura... (dont ask me why?)
 
kwakweli zanzibar tunastahili kupata majimbo na kwa namna ninavyoamini bavicha chini ya kamanda heche itakua swafi,tuna prof.safari naye ndiye atakuwa mwalim wa kutuelekeza njia zpi za kupta naye prof.baregu atatupa tathimin kadri kaz inavyokwenda.nafurahi kuona sasa mgombea toka cdm anacmama kidete.


Hivyo hujayaona ya Bungeni? Wapi tena mlikoweka wataalamu wenu? Hivyo mnadhani Zanzibar mtaifanyia utafiti eti mpate ushindi? Kama hamjaijuwa sasa mnafikiri muda mfupi utawasaidia? Haya wala urojo tunawangojea!
 
Back
Top Bottom