THINKINGBEING
JF-Expert Member
- Aug 9, 2010
- 2,779
- 1,304
Kazi njema.
Mie napata kichefuchefu hawa CDM wanapojipa misifa kuwa wanazidi kufungua matawi na kuingiza wanachama kibao!
Wajiulize yafuatayo;
1. CCM ina matawi mangapi Kyela
2. CCM kuondokewa na wanachama 400 ni suala ndogo; hivyo ni sawa na mto msimbazi kuacha kutitirisha maji bahari ya hindi; athari itakuwa KIDICHU.
CDM mtatumia ulaghai lakini 2015 mtapigwa vibaya sana!!!!
Hivi tbc1 wanaonesha na kutangaza yote haya?............maana ni chombo cha kinafiki zaidi.....tutapata tu habari zote hata bila wao kwani wametekwa na mafisadi wa ccm
chadema kazeni mwendo tuko pamoja