Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,348
- 217,391
Utaratibu kwa wote watakaohudhuria ni ule ule wa kufuata mwongozo wa WHO ili kudhibiti maambukizi ya Virus vya Corona
Chato kuwa New York madege makubwa kutuwa hukoSister unastahili nafasi pale ufipa. Kitengo cha uenezi. Makene anapwaya sana.
Ahsante kwa taarifa
Mataga wamefutika .....aiseeh wako mtaani hawaaminiSister unastahili nafasi pale ufipa. Kitengo cha uenezi. Makene anapwaya sana.
Ahsante kwa taarifa
Chadema ni nguvu mojaSister unastahili nafasi pale ufipa. Kitengo cha uenezi. Makene anapwaya sana.
Ahsante kwa taarifa
Warioba anajua kucheza na upepoWarioba:chadema Kama mnataka demokrasia nchini Basi muanze na nyie kuzingatia demokrasia kwenye chama chenu ndani kwa ndani....haya yamesemwa na warioba
My take:CDM changamkeni nchi imepoa kdg jamani ebu wapelekeni mbio Hawa
Now or never
Jikite kwenye mada husikaProtocol zipi hizo za kujikinga.? Mbowe c alisema hataki watu kwenye msiba mana kuna Corona.? Alishindwa vipi kuwaambia watu waje kwenye msiba huku wakizingatia hizo protocol za corona.?
Warioba alikua ana refer ubabe wa meko pale ccm sio chadema......Warioba:chadema Kama mnataka demokrasia nchini Basi muanze na nyie kuzingatia demokrasia kwenye chama chenu ndani kwa ndani....haya yamesemwa na warioba
My take:CDM changamkeni nchi imepoa kdg jamani ebu wapelekeni mbio Hawa
Now or never
Mada ipi hy.? Kwan kikao kimeshafanyika.? Nmeongea mambo ya corona mana hy mada pia umeandika kuhusu corona.Jikite kwenye mada husika
Mkutano wa saccos ya mwenyekiti.View attachment 1851841
Utaratibu kwa wote watakaohudhuria ni ule ule wa kufuata mwongozo wa WHO ili kudhibiti maambukizi ya Virus vya Corona
ndio maana jiwe aliwaburuzu na kuwatelekeza , akaamua kununua majembe Chadema kwa gharama kubwaMkutano wa saccos ya mwenyekiti.
Moshi wamekutana na hasira ya Mungu baada ya kushangilia kifo cha mwendazake.View attachment 1851841
Utaratibu kwa wote watakaohudhuria ni ule ule wa kufuata mwongozo wa WHO ili kudhibiti maambukizi ya Virus vya Corona
unachangia uzi huu huu ?Moshi wamekutana na hasira ya Mungu baada ya kushangilia kifo cha mwendazake.
Corona imechapa familia ya mbowe