leo wameshalewa kiroba wameshalala wanaota sasa jamani tuimwombee sana chadema tushike dola hawa wahuni wa ccm watakimbia nchi mwenyewewako wapi LB7?
leo wameshalewa kiroba wameshalala wanaota sasa jamani tuimwombee sana chadema tushike dola hawa wahuni wa ccm watakimbia nchi mwenyewewako wapi LB7?
sijawahi kujiuliza. wewe ulishajiuliza?
Mkuu tafuta maana ya maneno haya mawili kwenye siasa"strong holds na Toss up districts"!
Kuna majimbo ambayo hata ufanye nn CCM au CHADEMA itashinda maana ndiyo ngome yao kuu!Majimbo kama Chalinze,Temeke,Busokela kwa Mwandosya na Kalenga kwa CCM hayawezi badilika na sio kipimo kwa CCM kushinda hapo kama ndiyo ina nguvu kisiasa.Ni sawa na uchaguzi ufanyike leo Moshi au Karatu CHADEMA ishinde then waseme sasa wameimarika!
Chama kukua kinaonekana kwenye chaguzi za "Toss up district" zinazobadilika kutokana na hali halisi!Wilaya kama Mbeya Mjini,Ubungo,Tarime na Kigoma Mjini na nyinginezo wapiga kura wake ni independents na wanapiga kura zao kutokana na uimara wa chama kipindi hicho!Na ndiyo maana chaguzi zao huwa hazitabariki
Nakuambia tena Kalenga na Chalinze hata CCM wasimamishe yyt yule wanashinda,ni Wilaya tiifu kwa CCM na CHADEMA lzm washiriki chaguzi hizo kujijenga hata kama wanajua hawatashinda kama CCM inavyoshiriki Moshi Mjini,Karatu na Kigoma kaskazini
hivi hao waislam hapo kyela ni % ngapi mpaka wamtese mwakyembe kiasi hicho?MkuuKyela CCM wana hali mbaya mno na hata Dr Mwakyembe analijua hiloJuzi kwa mara ya kwanza ktk uongozi wake wa kiimla wa miaka zaidi ya 8 katumia mamilion ya shilingi kwa kawakusanya waislam kutoka kata zote 21 na kuwapa futari ya bure!Zamani wkt Kyela hamna upinzani Dr Mwakyembe aligoma kutoa hata senti yake!
ishia huko mp.umbavu wewe.Matusi nayajua kamUnayataka utayapata. Mi sio mchumia tumbo kama wewe Dada. Acha kujipendekeza Kwa wanaune
huwa unanifurahishaga sana jinsi ulivyo na matumaini. nakushauri ujiandae kisikolojia. maana!kiama cha ccm ni daftari la wapiga kura , hata kwa katiba hii hii hawatoki !
sasa mp.umbavu akikuuliza swali unapoteza muda wa nini kujibu wakati unauhakika hataelewa?Ha! Ha! Ha! Abunuas bhana ! Jibu maswali , mbona unakwepa ?
Utafiti wako upo biased hasa ulipo acha kwa makusudi kujumuiaha "Factor Comparison method" kwenye uchambuzi wako!!
Je mwaka 2010 CHADEMA Chalinze na Kalenga walipata % ngapi ya kura?Je chaguzi za marudio miaka 3 baadae walipata % ngapi ya kura?Je % zao zimeongezeka au zimepungua?
Tupe takwimu tafadhali!
Kaka tutafutane kwa PM please najua tunajuana vizuri,tulikuwa wote kwa mwalimu filipo na mahinya!
huwa unanifurahishaga sana jinsi ulivyo na matumaini. nakushauri ujiandae kisikolojia. maana!
hivi hao waislam hapo kyela ni % ngapi mpaka wamtese mwakyembe kiasi hicho?
Mkuu
Kyela CCM wana hali mbaya mno na hata Dr Mwakyembe analijua hilo
Juzi kwa mara ya kwanza ktk uongozi wake wa kiimla wa miaka zaidi ya 8 katumia mamilion ya shilingi kwa kawakusanya waislam kutoka kata zote 21 na kuwapa futari ya bure!
Zamani wkt Kyela hamna upinzani Dr Mwakyembe aligoma kutoa hata senti yake!
sasa mp.umbavu akikuuliza swali unapoteza muda wa nini kujibu wakati unauhakika hataelewa?
Eee bhana mkuu ulijuaje kama kutakuwa na ESCROW aisee ! Mbona ni kitambo sana ? Wewe ni mtabiri bhana , haiwezekani !Chadema kinakwenda kukamata madaraka wezi wa Pesa za taifa mjiandalie vitanzi nyie na makuwadi wenu akina nepi.
mkuu kyela vipi mwakyembe vipi....
Mwakyembe alikimbia mchana kweupe bila hata ya kusikiliza matokeo mbali na kugawa vitu kama vile sahani za kichina, vikombe, vijiko, kwa raia lakin hakuna alicho ambulia zaid ni kwamba mamlaka ya mji mdogo kyela chadema wanaongoza kuwa na viti 29 hivo ndiyo wenye maamuzi na wenye kuchagua mwenyekiti wa halimashauri ya mji mdogo kyelamkuu kyela vipi mwakyembe vipi....