Hapo ndipo kwetu;karibu sana na nyumba ya wazazi wa Meya wa Kinondoni Yusufu Mwenda!
Narudi kumtoa Kipeja kwenye udiwani wa Kyela mjini hata yy anajua hilo na CHADEMA tutaongoza Halmashauri!
Niungeni mkono wadau!!
Wewe unatoka mikoroshini. Mkuu kayatoe magamba yameipausha wilaya yetu badala ya kwenda mbele kyela inarudi nyuma