mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,276
- 12,335
Watapata tabu Sana'a hao policcm
Kuna wauza mbao wanapesa kuliko Wabunge,akifanya hivyo atakuwa amepanda kiuchumi
Sent using Jamii Forums mobile app
Siasa za Tz ni sawa na sokoni, wengine wanaingia sokoni na wengine wanatoka sokoni!
Sent using Jamii Forums mobile app
Wamenunuliwa na chadema haoMbozi ni ngome mojawapo madhubuti ya CHADEMA, hali ya kisiasa Mbozi chini ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo wananchi wanaikubali sana na kuielewa
Wakati leo hii Komu, mbunge wa Moshi Vijijini akiamua kukihama CHADEMA, huko Mbozi wana CCM zaidi ya 50 wamejiunga na CHADEMA.
Wananchi hao wameeleza kuridhishwa na uongozi wa CHADEMA unavyowajali watanzania na kuwa na siasa za kistaarabu kuliko vyama vingine vya siasa hapa nchini.
Pichani ni mbunge wa Mbozi, Pascal Haonga akiwapokea wanachama hao walio jiunga na CHADEMA. View attachment 1403156
In God we Trust
Hilo ni danga achana naloKwako wewe kuuza mbao siyo kazi? Au siyo chanzo halali cha kujijngizia kipato?
In God we Trust