Regery
JF-Expert Member
- Jul 30, 2013
- 260
- 192
Wewe hata moja huna!Siasa za Tanzania zinafurahisha sana!
Ajenda inayosema Mbowe anafuja pesa za ruzuku za chama imetafutiwa magari ya ''sample'' ili ifutwe kisiasa!
Toka lini ukaleta magari matano ya ''sample'' na wakati hata huko nyuma ulinunua magari ya aina hiyo hiyo!
Mtu mwenye akili timamu akikudanganya huku akijua kuwa una akili timamu na wewe ukadanganyika, atakudharau sana! Viongozi wakuu wa CHADEMA wanawadharau sana wanachama na wafuasi wao!