mwembemdogo
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 2,282
- 1,251
Mungu hadhihakiwi Mungu ana Chadema
Anashangilai?Mwandishi kamanda na yeye anashangilai ushindi
Ahsante, nimesharekebishaAnashangilai?
Habari mbaya sana kwa wamiliki mapanga shaa......
Diwani anakutoa povu!!!Akina Lizaboni, Simiyu Yetu, Wakudadavuwa, MOTOCHINI, Mudawote, Magonjwa Mtambuka, Ruttashobolwa, kabombe na buku saba wengine wataunda kamati na kushauri hakimu huyo achunguzwe vyeti vyake vya elimu na uraia.
KESI za uchaguzi nilizotolewa maamuzi jana kwa kata NNE za IRINGA mjini CHADEMA imeshinda zote NNE na CCM Kuambulia 0. KATA HIZO NI KIHESA, MAKORONGONI, RUAHA na MWANGATA
Kama unashindwa kusoma jina langu rudi shuleHuwa kila siku najiuliza kuhusu wewe,Ni Mwanahabari huru au Mwanahabari wa CHADEMA.