CHADEMA yaibwaga Jamhuri mahakamani Rufaa ya DPP kutaka Mbowe na Matiko kukaa mahabusu kwa kukiuka masharti ya dhamana

Mwanahabari Huru

JF-Expert Member
Mar 9, 2015
14,243
34,899
Updates
=====

CHADEMA imeibwaga serikali mahakamani kwa kushinda Rufaa ambayo ilikatwa na DPP kutaka kwamba Mbowe na Matiko walikiuka dhamana yao hivyo wawekwe mahabusu.
Kesi yao itaendelea kama kawaida ....

Faili lao litapelekwa Mahakama kuu ili wapatiwe dhamana Mahakama Kuu...

3D820CBF-57F5-4E2F-BE2A-8FB2A86781E2.jpeg


929D0041-00FE-437E-8430-A75CA3002811.jpeg


Leo watarudi mahabusu

Habari zaidi...

Mahakama ya Rufaa jijini Dar es Salaam leo, Ijumaa, imetupilia mbali rufaa iliyokatwa na Mkurugenzi wa Mashitaka nchini (DPP) dhidi ya Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na Mbunge wa Tarime Mjini, Ester Matiko.

Hata hivyo, mahakama hiyo imeelekeza jalada la kesi hiyo kurudishwa Mahakama Kuu kwa ajili ya kusikiliza rufaa ya Mbowe kuhusu kufutiwa dhamana na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Novemba 23, 2018.

Mahakama iliwafutia Mbowe na Matiko dhamana baada ya wawili hao kudharau maamuzi ya mahakama. Mbowe alishindwa kuhudhuria mahakamani November 8, mwaka jana kwa maelezo kuwa alisafiri kwenda Afrika Kusini kwa matibabu.

Habari zaidi, soma=>Kutoka Mahakama Kuu, Dar: Mwendelezo wa Rufaa ya dhamana ya Freeman Mbowe na Ester Matiko yaendelea kusikilizwa - JamiiForums
 

Attachments

  • Dpp vs Mbowe.pdf
    8.6 MB · Views: 47
Vipi Mahakama imefuata maagizo kutoka juu au imetimiza majukum yake?

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
Lengo la maagizo toka juu limeshatimia. Walitakiwa Xmas na mwaka mpya iwakute rumande.. yani wakae miezi kama mitatu hivi kuwakomoa. Roho zao zimetulia sasa.
 
Back
Top Bottom