Precise Pangolin
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 12,998
- 6,659
Wana bodi vip Segerea kesi inaendeleaje ? tupeni updates ni jimbo letu tena hilo tufikishe 50 kabisa
Leo nitaMalima hadi asubuhi!
wakati tunasubiri tarehe 10 april, inabidi tufanye mchakato wa kumpelela Lusinde mahakamani, ni muhimu viongozi wawe mfano bora kwa kujiheshimu, vichaa vya kurogwa vinatibiwa kwa maombi, vichaa vya kuzaliwa vinatibiwa mahakamani
Huo mwandiko wa huyo mkrugenzi ama ni wa PS wake?
A man can only rise, conquer and achieve by lifting his thoughts
BAADA YA MATOKEA HAYO tUNAOMBA MKAPA, LUSINDE NA WASIRA WATOE HOTUBA FUPI YA KUWASHUKURU WANANCHI:A S shade:....HEHEHEHEHEH