kwa yote uliyoyataja, wanasoko wameona HASAN BARUT WA CHADEMA NDIYE ANAYEFAA.Sikutegemea viongozi wa sehemu za huduma za jamii washindanishwe kwa itikadi ya vyama vyao. Kama ni sokoni wangeangalia mfanya biashara miongoni mwao atakayetetea huduma za wafanyabiashara kama usafi sokoni, kupatikana kwa huduma nyinginezo kama maji na vyoo.