CHADEMA yaibuka kidedea uchaguzi wa mwenyekiti NGUZO NANE - Shinyanga

Magamba yanazidi kukataliwa tu,sasa ni hapa duniani hadi Ahera pia hivi hivi.....Pipozzzzzzzzzzzz Pawaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
:A S thumbs_up:
 
Siasa mpaka sokoni? Big up kwa aliyeshinda

Hata maofisini sasa hivi ni siasa kwa kwenda mbele!!

Watumisi wa serikali wenyewe sasa wamemeguka vipandevipande! Yaani ni siasa tu kila kona sijui hawa chama cha magamba watachomokea wapi!!
 
Go CHADEMA,GO CHADEMA,nguvu ya uma haikuwahi kushindwa sehemu yoyote,mwisho wa MAGAMBA UMETIMIA.
 
DAR, mnasikitisha duniani. Katika dunia hii ni majiji mawili tu, ndio bado yanakumbatia siasa za chama tawala, DAR na mdogo wakeTANGA. Hayo ndio majiji jinga dunia nzima. Kila kitu kipo dar, kashfa zote mnazisikia dar kwanza lakn mmekuwa wa mwisho kuzielewa.

Oh mara kuzaliwa dar tu ni kama form 1v au form vi tayari,haya sasa!
Kuna matatizo mengi dar lakini watu kimyaaaa,umeme tu maeneo mengine mpaka masaa 36 mfulilizo haupo
 
Hopeless kabisa mlishindwa Urais wa Nchi leo mnajifariji ushindi wa sokoni! Tehetehethe wastage of time CDM!
 
Watu wa Shinyanga jipangeni kumpiga chini Shibuda mumuweke kijana mpambanaji anawaharibia sifa lakini pia anakisaliti chama chetu.
Ndugu wanajf, jana kulikuwa na uchaguzi wa mwenyekiti wa soko la nguzo nane lililopo shy mjini. Uchaguzi huo uliwakutanisha uso kwa uso makada wa vyama viwili asimu nchini namaanisha CHADEMA na ccm. HASSAN BARUTI, Mwenyekiti wa BAVICHA wilaya ya shy mjini ambaye ni mfanyabiashara wa soko hilo alimkabili mwenyekiti aliyemaliza muda wake, ABDUL KIDODE, kada wa ccm, na mfanyabiashara mwenye bucha nyingi mjini hapa. Mwisho wa uchaguzi kamanda HASAN BARUTI alishinda kwa kupata kura 445 dhidi ya mpinzani wake mwanaccm, ABDUL KIDODE, aliyepata kura 120 tu. Nawasilisha.
 
Mwendo ni huo huo kuanzia grassrooot level. Hata ukitokea uchaguzi wa umoja wa wauza kuku, tunaweka mgombea na tunawabwaga wanamagamba.

Ni kweli kabisa na kwa namna hii tutangoa mizizi yote ya CC-Magamba na ikifika 2015 tutakuwa kila mahali tumemaliza inabaki tu kuhamasisha watu kwenda kupiga kura na si kampeni tena
 
CDM hongereni sana kwa ushindi murua.
Very soon tutachukua na jimbo letu la Shy town.
 
Sasa mwenyekiti wa Soko au raisi wa DARUSO hivi ni vyeo vya kisiasa mpaka mchuano uwe kati ya vyama? Athari za kuingiza siasa kila mahali baadaye zitaleta matatizo makubwa sana katika ustawi wa umoja wa kitaifa. Sasa na mimi kama ni chama X nikitaka wafanya kazi nitafute wafuasi wa chama X?

Mbona tunasahau upesi. Kuna wakati ili uwaongoze wafanyakazi ilibidi uwe CCM, uongoze wanamichezo uwe CCM, uongoze vijana uwe CCM, uongoze wazazi uwe CCM, uwaongoze chipukizi uwe CCM, uwaongoze wanawake uwe CCM, uwaongoze wafanya biashara uwe CCM, uongoze wanafunzi uwe CCM, uwaongoze mama ntilie uwe CCM na ilifika mahala hata kuwa kiongozi wa wezi lazima uwe CCM au kuwa kiongozi wa mafisadi uwe CCM.

Hakuna aliyelalamika kuwa mbona kila kitu siasa hadi mpirani, mazikoni hadi arusini CCM, CCM, CCM ! Sifa kubwa ya uongozi ilikuwa ni mwana CCM hata kama uwezo haupo kama tunavyoshuhudia. Naona Watanzania sasa wameanza kuamka, hongereni sana.
 
Hopeless kabisa mlishindwa Urais wa Nchi leo mnajifariji ushindi wa sokoni! Tehetehethe wastage of time CDM!
kwako wewe ni hopeless, lakn kwetu ni hope. Kwako ni wastage of time, lakn kwetu ni progress. Hayo yote ni mapito kuelekea ukombozi wa kweli. Hatutarudi nyuma na badala yake tutasonga mbele kwani mwenyezi mungu yu pamoja nasi.
 
Bado ubunge,manake nasikia hata huyo mbunge aliyetangazwa hakanyagi shy town for fear of being assasnated,wadau wa shy ya kweli hayo?
 
Sasa mwenyekiti wa Soko au raisi wa DARUSO hivi ni vyeo vya kisiasa mpaka mchuano uwe kati ya vyama? Athari za kuingiza siasa kila mahali baadaye zitaleta matatizo makubwa sana katika ustawi wa umoja wa kitaifa. Sasa na mimi kama ni chama X nikitaka wafanya kazi nitafute wafuasi wa chama X?

We upo nchni gani Bwana?

Soma hiyo taarifa tena, anaona hujaielewa, au una maanisha wagombea hawakupaswa kuwa wanachama wa chama chochote cha siasa?
CCM wanaweka siasa hadi kwenye vijiwe vya Bangi, huoni bendera za mashina ya CCM!
 
Bado ubunge,manake nasikia hata huyo mbunge aliyetangazwa hakanyagi shy town for fear of being assasnated,wadau wa shy ya kweli hayo?
hayo ya kweli kabisa, akija usalama wa taifa na ffu wanakuwa nae popote anapokwenda. Hukushinda na alitangazwa kwa diff ya kura 1.
 
We upo nchni gani Bwana?

Soma hiyo taarifa tena, anaona hujaielewa, au una maanisha wagombea hawakupaswa kuwa wanachama wa chama chochote cha siasa?
CCM wanaweka siasa hadi kwenye vijiwe vya Bangi, huoni bendera za mashina ya CCM!

Sikutegemea viongozi wa sehemu za huduma za jamii washindanishwe kwa itikadi ya vyama vyao. Kama ni sokoni wangeangalia mfanya biashara miongoni mwao atakayetetea huduma za wafanyabiashara kama usafi sokoni, kupatikana kwa huduma nyinginezo kama maji na vyoo.
 
Sikutegemea viongozi wa sehemu za huduma za jamii washindanishwe kwa itikadi ya vyama vyao. Kama ni sokoni wangeangalia mfanya biashara miongoni mwao atakayetetea huduma za wafanyabiashara kama usafi sokoni, kupatikana kwa huduma nyinginezo kama maji na vyoo.

Nimekwambia usome hiyo taarifa tena uielewe bado hutaki kuisoma sijui una matatizo gani kwani uoni amekwambia hao wagombea wanafanya biashara gani hapo sokoni?!

Na niwapi amekwambia kuwa hao walikuwa wagombea wa vyama vya siasa, alichofanya ni kuelezea kuwa wgombea ni wanachama wa CCM na CDM hajasema waliperekwa na vyama vyao kwenye uchaguzi utaki kuelewa au tatizo nini?
 
Back
Top Bottom