Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
- Thread starter
- #101
Ccm miaka 55 ya uhuru hakuna lolote zuri mlio watendea watanzania zaidi ya kuwaibia rasilimali zao na kuwatia umasikini mkubwa sana
Wametengeneza Uzi wao wa kujifariji. Wanaandika na kucomment wenyewe. Maana siku hizi CDM hawana cha kujivunia chochote, chama hakina uhai. Wana hasira haoo. Ha ha haaa