CHADEMA yaibomoa CCM Singida chini ya Nyalandu

Hivi unaweza kutwambia ndani ya ccm ni nani aligombea nafasi ya uenyekiti na mwenyekiti wenu wa sasa?
Chadema bado ipo na watu wanaisapoti. Vidole viwili vinamanisha hadumu mwenyekiti. Chama hakina hata uchaguzi wa mwenyeti full utemi na maamuzi mtu mmoja
 
Kho kho kho tptuu hao watu watano ndiyo wanauwa ccm singida,rejea mafuriko ya Edo na mabadiliko utajua unajitekenya alafu unacheka.
Wametengeneza Uzi wao wa kujifariji. Wanaandika na kucomment wenyewe. Maana siku hizi CDM hawana cha kujivunia chochote, chama hakina uhai. Wana hasira haoo. Ha ha haaa
 
Nyarandu huyu tumjuaye
Wanasiasa wote wamuige Nyarandu.
Anasiasa safi zisizo na lugha za Matusi wala Kejeli.
Tunataka siasa za kushindana kwa hoja.
CCM wamehamia kwenye siasa za kutumia maguvu na vitisho ndio maana wanabebwa na watu wasiaojulikana .

Tunataka siasa za hoja.
Nchi hii INA mambo mengi sana ya kuyafanya kwa kupitia akili na maarifa kuliko nguvu.
Maguvu kwa muda mrefu yameruharibua nchi .
Mipango mingi inapangwa lakini inasimamiwa na kufanywa na watu wenye maarifa kidogo.

Chadema wajipange tu vizuri kwenye uchaguzi ujao.
Wasimlenge sana Magufuli mana magufuli hawezi kuangushwa na MTU nje ya CCM.
Wapinzani Walenge sana kwenye viti vya serikali za mitaa mwaka huu, Udiwani, na ubunge mwakani.
CCM ikiwa na hao wabunge na madiwani wengi kiama cha Watanzania kitazidi kudumishwa.
 
Mtasema mengi sana kwa maana midomo yenu hamtozwi kodi ila anacho wafanyia mh Nyarandu lazima mlale na viatu
Kusema ukweli Singida wanapendwa Mwigulu na Lissu tu!
FB_IMG_1562856134060.jpeg
FB_IMG_1562856126809.jpeg
 
28 Reactions
Reply
Back
Top Bottom