CHADEMA yaibomoa CCM Singida chini ya Nyalandu

Naona mh Nyarandu anakutesa sana na hapo bado mtalia sana
Habari za Chadema zikiandikwaga na huyu Mmawia huwa zinatiwa chumvi hadi zinapoteza ladha. Mara oh sijui Lisu kazawadiwa basi huko Ubelgiji, mara oh Lisu atahutubia bunge la Marekani, khaa uzushi mtupu!
FB_IMG_1562856134060.jpeg
FB_IMG_1562856126809.jpeg
 
Ushukuliwe sana mkuu kwa mawazo ya kujenga
Wanasiasa wote wamuige Nyarandu.
Anasiasa safi zisizo na lugha za Matusi wala Kejeli.
Tunataka siasa za kushindana kwa hoja.
CCM wamehamia kwenye siasa za kutumia maguvu na vitisho ndio maana wanabebwa na watu wasiaojulikana .

Tunataka siasa za hoja.
Nchi hii INA mambo mengi sana ya kuyafanya kwa kupitia akili na maarifa kuliko nguvu.
Maguvu kwa muda mrefu yameruharibua nchi .
Mipango mingi inapangwa lakini inasimamiwa na kufanywa na watu wenye maarifa kidogo.

Chadema wajipange tu vizuri kwenye uchaguzi ujao.
Wasimlenge sana Magufuli mana magufuli hawezi kuangushwa na MTU nje ya CCM.
Wapinzani Walenge sana kwenye viti vya serikali za mitaa mwaka huu, Udiwani, na ubunge mwakani.
CCM ikiwa na hao wabunge na madiwani wengi kiama cha Watanzania kitazidi kudumishwa.
 
Chadema bado ipo na watu wanaisapoti. Vidole viwili vinamanisha hadumu mwenyekiti. Chama hakina hata uchaguzi wa mwenyeti full utemi na maamuzi mtu mmoja
 
kwa kilichotendeka kwa lissu huko singida, hakika mwanasingida wa kuiunga ccm mkono anapaswa kuwa na akili ya kiuwendawazimu dah
 
28 Reactions
Reply
Back
Top Bottom