Habarini watu wa ukumbi huu..,
Vyanzo vya ndani vinasema hivyo, Tundu Lissu alikutana na Rais Samia kwa matakwa na maamuzi yake binafsi haikuwa ajenda ya chama wala hawakuwahi kukaa ata kwa dakika 5 kupeana mashauri juu ya kukutana na rais Brussels.,
Lakini vyanzo vilienda mbali zaidi baada ya mmoja katika viongozi wao wakuu na alisema "pamoja na kwamba hatukua na Lobbing yoyote yeye kukutana na rais lakini Tundu Lissu hakuwa mtu mwenye kuvumilia kwa kile walichoongea na rais, baada ya kuachana na mama tu alienda kuandika walichoongea na mama jambo ambalo tunahisi limepelekea Mwenyekiti Mbowe kwenye ile kesi mambo kubadilika na kuonekana Mbowe ana kesi ya kujibu Ameendelea kusema mmoja wa viongozi wa juu kwamba ''Sisi tulikuwa na matumaini makubwa Mhe. Mbowe angekuwa huru na kutoka lakini haikuwa hivyo tunahisi ni kutokana na kiongozi wetu huyu kupenda kubwabwaja kila kitu hadharani" Akajenga suali "Kuna tofauti gani alichofanya Zitto ambaye tunamuimta msaliti na alichofanya yeye Lissu"
Akaendelea kutolea mfano "Mbona maalim seif alipoenda kukutana na magufuli hakuna aliyejua nini waliongea lakini hata maalim seif alipoulizwa alijibu ni siri ya wao wawili, maalim seif akaenda mbali zaidi mpaka kule Chato lakini maalim hakuwahi kwenda kwenye media kutangaza nini na nini waliongea na mwendazake lakini matokeo yake baadae walikuja kuona Zanzibar inaingia kwenye serikali ya Umoja wa kitafa"
Baada ya kuvuja kwa walichoongea Lissu na Mama, Yasemekana ndio kilichopelekea Mama alipoulizwa kuhusu Mbowe akajibu hawezi kuingilia Mahakama, anasema jibu hili lilitokana kwa kukurupuka kwa Tundu Lissu kubwabwaja kwa yale ambayo waliongea na rais.
Chanzo kimeeleza kwamba walitegemea mwenzao huyu Tundu Lissu baada ya kukutana na mama basi angekutana na wenzake kupitia angalau Zoom na kuzipeleka hizi ajenda kwenye kikao chao cha ndani na kuona kama kuna tija yoyote kwenye chama lakini Tundu hakuwa akifanya hivyo alifanya maamuzi ya kuweka wazi kwa umma.
Lakini pia kiongozi huyu ameenda mbali zaidi kuhusu katiba na akasema kwenye mkutano wetu wa ndani tulifanya mjadala wa kudai katiba mpya na mapendekezo yaliyotoka walipendekeza kwamba huenda mama kwa jinsi wanavyomuona anaweza kuleta Katiba mpya baadae hivyo wakata waendelee kuvumialia badala yake Chadema wadai Tume huru ya Uchaguzi lakini ni Tundu Lissu aliepinga wazo hili 100% na kusema wakati ni sasa wa kudai katiba mpya ndipo Mbowe alipojaribu kudai katiba mpya na matokeo yake ndio akashikwa hadi leo na kubambikiziwa hayo makesi, anasema ni matokeo na maamuzi ya Tundu Lissu lakini na msigwa kwenye jambo hili.
Naomba kuwasilisha.
Vyanzo vya ndani vinasema hivyo, Tundu Lissu alikutana na Rais Samia kwa matakwa na maamuzi yake binafsi haikuwa ajenda ya chama wala hawakuwahi kukaa ata kwa dakika 5 kupeana mashauri juu ya kukutana na rais Brussels.,
Lakini vyanzo vilienda mbali zaidi baada ya mmoja katika viongozi wao wakuu na alisema "pamoja na kwamba hatukua na Lobbing yoyote yeye kukutana na rais lakini Tundu Lissu hakuwa mtu mwenye kuvumilia kwa kile walichoongea na rais, baada ya kuachana na mama tu alienda kuandika walichoongea na mama jambo ambalo tunahisi limepelekea Mwenyekiti Mbowe kwenye ile kesi mambo kubadilika na kuonekana Mbowe ana kesi ya kujibu Ameendelea kusema mmoja wa viongozi wa juu kwamba ''Sisi tulikuwa na matumaini makubwa Mhe. Mbowe angekuwa huru na kutoka lakini haikuwa hivyo tunahisi ni kutokana na kiongozi wetu huyu kupenda kubwabwaja kila kitu hadharani" Akajenga suali "Kuna tofauti gani alichofanya Zitto ambaye tunamuimta msaliti na alichofanya yeye Lissu"
Akaendelea kutolea mfano "Mbona maalim seif alipoenda kukutana na magufuli hakuna aliyejua nini waliongea lakini hata maalim seif alipoulizwa alijibu ni siri ya wao wawili, maalim seif akaenda mbali zaidi mpaka kule Chato lakini maalim hakuwahi kwenda kwenye media kutangaza nini na nini waliongea na mwendazake lakini matokeo yake baadae walikuja kuona Zanzibar inaingia kwenye serikali ya Umoja wa kitafa"
Baada ya kuvuja kwa walichoongea Lissu na Mama, Yasemekana ndio kilichopelekea Mama alipoulizwa kuhusu Mbowe akajibu hawezi kuingilia Mahakama, anasema jibu hili lilitokana kwa kukurupuka kwa Tundu Lissu kubwabwaja kwa yale ambayo waliongea na rais.
Chanzo kimeeleza kwamba walitegemea mwenzao huyu Tundu Lissu baada ya kukutana na mama basi angekutana na wenzake kupitia angalau Zoom na kuzipeleka hizi ajenda kwenye kikao chao cha ndani na kuona kama kuna tija yoyote kwenye chama lakini Tundu hakuwa akifanya hivyo alifanya maamuzi ya kuweka wazi kwa umma.
Lakini pia kiongozi huyu ameenda mbali zaidi kuhusu katiba na akasema kwenye mkutano wetu wa ndani tulifanya mjadala wa kudai katiba mpya na mapendekezo yaliyotoka walipendekeza kwamba huenda mama kwa jinsi wanavyomuona anaweza kuleta Katiba mpya baadae hivyo wakata waendelee kuvumialia badala yake Chadema wadai Tume huru ya Uchaguzi lakini ni Tundu Lissu aliepinga wazo hili 100% na kusema wakati ni sasa wa kudai katiba mpya ndipo Mbowe alipojaribu kudai katiba mpya na matokeo yake ndio akashikwa hadi leo na kubambikiziwa hayo makesi, anasema ni matokeo na maamuzi ya Tundu Lissu lakini na msigwa kwenye jambo hili.
Naomba kuwasilisha.