Nipo mwanga, Chadema Wana mkutano wa hadhara unahytubiwa na Katibu wa Chadema mkoa wa kilimanjaro kamanda Basil Lema, kamanda Kilewo, kamanda Nassari Joshua aliyegombea arumeru mashariki, diwani Nanyaro wa arusha, na kamanda kombe.
My take: hawa jamaa hawchoki na wapo serious sana. Walikuwepo wote igunga juzi tu hawajapumzika Leo wapo mwanga. Kweli hakuna kulala
My take: hawa jamaa hawchoki na wapo serious sana. Walikuwepo wote igunga juzi tu hawajapumzika Leo wapo mwanga. Kweli hakuna kulala