Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,408
- 92,752
- Thread starter
- #21
Mkuu huyo ni mke wa Mr Mali Kimesera, subili ana mabinti zake wazuri kuliko yeye na ni over 18 nitume ushenga tu kwa binti yake mkubwa.Can I have her phone number?
Mkuu huyo ni mke wa Mr Mali Kimesera, subili ana mabinti zake wazuri kuliko yeye na ni over 18 nitume ushenga tu kwa binti yake mkubwa.Can I have her phone number?
Mkuu picha kwanza ya hao mabinti!! Hahaha, Lol like daughters like mother.Mkuu huyo ni mke wa Mr Mali Kimesera, subili ana mabinti zake wazuri kuliko yeye na ni over 18 nitume ushenga tu kwa binti yake mkubwa.
Mkuu nadhani upo mawazoni mwangu na ndio sababu kuu ya mimi kuanzisha uzi huu, ni hasa kuwaonesha Dada zetu sasa ifike kikomo kuvalishwa ile mitshirt na kapelo na kanga za kijani na njano zilizolaaniwa.masistaduu wengi hawana ujasiri wa kuweka wazi hisia zao za kisiasa kuhusu upinzani.sasa huyu kawaonyesha njia.
Umemaliza yote, na kwa uzuri tu naomba nimpe hongera mtoto wa Mzee Kimesera kwa kweli hili ni toto la nguvu na huwezi amini kama ana umri wa miaka 40.Matola hapa noamba nisema tu dada kwa kweli ni mzuri na kapendeza mno... Kumbe rangi za CDM zinafaa sana kushona. Kwa hapo CCM hawaoni ndani, too much yellow na Green.
Umemaliza yote, na kwa uzuri tu naomba nimpe hongera mtoto wa Mzee Kimesera kwa kweli hili ni toto la nguvu na huwezi amini kama ana umri wa miaka 40.
Jamani huo Mguu!:mwaaah:
Yaani wee acha, yule dada ambaye ukimchanja kiwembe basi damu yake ni Chadema tupu.
LB ameweka headline nyingine USA na nguo za uzinduzi wa tawi la Chadema Houston TX. Nguo zimejaa rangi nyekundu zikimaanisha damu za wanyonge na za Chadema zilizomwagika. Wanyonge ni watu Kama wamama wazazi waliofariki wakati wa kujifunguwa na vitoto vichanga na watu waliokufa kutokana na hali duni za hospitali zetu na matibabu
Mshono wa nguo ya Linda unaitwa Dueces CCM 2015. Na mshono wa wifi yake Asha wa Houston TX unaitwa mpaka kieleweke, kwa style hii CCM imeandaliwa makaburi kila pembe ya Dunia hii, sasa ni dhahiri kitaeleweka muda si mrefu.
Nb: kwa wale msiomjuwa Linda Bezuidenhout ni dada wa yule Richard Bezuidenhout ambaye alishinda kitita cha $ 100,000/= za Big Brother pia ni mkwe wa mzee Victor Kimesera.
Nguo ya LB imejaa rangi nyekundu kwa ndani ambayo ni dedicated to the innocent lives lost.
Sasa hata Walimbwende mnakaribishwa Chadema kwani kumesheheni kila aina ya ubunifu, ile minguo ya kijani na njano sasa hivi ni ishara ya laana kwako na kizazi chako chote.
AshaDii Haya hii ni compliments kwako kwa ruhusa ya Linda, hapo ni Mr & Mrs na Daughter.Umenifanya ninyanyuke nilipo nakajiangalie upya kwenye kioo... lol, I am officially jealous of her khaah!