Pistol
Senior Member
- Oct 13, 2015
- 194
- 86
Habari za hivi Punde zilizonifikia Dawati langu la taarifa kutokea Arusha zinasema Naibu katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) John Mnyika leo akisaidiwa na Mwanasheria wa CHADEMA John Malya wamefungua Kesi kwenye Mahakama ya Afrika Mashariki kuhusu Unyanyasaji wa Bunge la Tanzania kwa wapinzani na Kuzuia Mikutano ya Kisiasa kinyume na Katiba