Mkuu, wapinzani wapo vile vile, hawajawai kutukana Mtu au kufanya uchochezi wowote! Kuhamasisha maandamano na watu kuandamana ni haki ya kikatiba!SI KWAKUWA WAMEKUA NA ADABU KUUBWAA? KIPINDI CHA NYUMA MIKUTANO YAO ILIJAA VITISHO NA MAANDAMANO. WATU WALITAMANI MAANDAMANO HADI MSIBANII, KWAHIO WAMEKUWA WAADILIFU KABISAA. MIMI NIMESHIRIKI KIKAO CHAO KIMOJA SIJAONA HATA LUGHA YOYOTE YA UCHOCHEZI WALA LUGHA CHAFU. KWAKWELI WAENDELEEE HIVO HIVOO NA MUNGU AWABARIKI.
Alitaka, mlimtukuza wenyewe kwa KUJIPENDEKA tu! Msimsingizie marehemu wa Mungu.Siasa za kistaarabu ni zile alizotaka jiwe za kumtukuza yeye kama mungu ambazo tulizikataa ?
Ndugu, kama unayo clip yoyote uonayo ni ya UCHOCHEZI, hebu tuwekee hapo, nasi tuuone.SI KWAKUWA WAMEKUA NA ADABU KUUBWAA? KIPINDI CHA NYUMA MIKUTANO YAO ILIJAA VITISHO NA MAANDAMANO. WATU WALITAMANI MAANDAMANO HADI MSIBANII, KWAHIO WAMEKUWA WAADILIFU KABISAA. MIMI NIMESHIRIKI KIKAO CHAO KIMOJA SIJAONA HATA LUGHA YOYOTE YA UCHOCHEZI WALA LUGHA CHAFU. KWAKWELI WAENDELEEE HIVO HIVOO NA MUNGU AWABARIKI.
Weka wazi nasi tulijue na hiyo taasisi. Usiogope wasiojulikana wamekwishapotelea kusiko julikana baada ya tar 17/03/2021huyo shetani ana litoto lake moja lipo taasisi moja serikali, lina roho iliyomrithi baba yake 100%
Umeona eenhh??!!!Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana !
Tupe ubuyuhuyo shetani ana litoto lake moja lipo taasisi moja serikali, lina roho iliyomrithi baba yake 100%
Taga unahangaika sana, na hupati teuzi, amini nakwambia utabaki taga wa buku 7 maisha.Hapana, hapa hakuna wa kuulizwa, siyo Polisi wala RCs au DCs! Wakuulizwa hapa ni Mbowe na CHADEMA yake! Kulikoni mbona sasa anafanya SIASA za "kiustaarabu" tofauti na hiyo miaka ya nyuma enzi za JPM? Jibu ni rahisi, CHADEMA, kwa sasa wameshika adabu, hawawezi kudiriki kufanya upuuzi wao uliopelekea kufungiwa kufanya siasa, ikiwa ni pamoja na mikutano ya hadhara. Wameshika adabu kweli kweli, na wakidiriki kurudia upuuzi wao wa siku za nyuma, watakiona CHA MTEMA KUNI. Huyu SSH hana mchezo.
Haswa, maana hakujaaliwa kuwa na mvuto wala ushawishi.Alikuwa akijenga mazingira rafiki ndani na nje ya bunge ili aweze kubadilisha katiba kirahisi pasipo kuwepo kizuizi chochote kile akapate kutawala pasipokuwa na ukomo.
Wametoa matusi au vitisho kwa mkuru au wanafaya yao kisha wanasepa?CHADEMA wamefika mikoa 24 kati ya 26 Tanzania Bara bila kukamatwa na Polisi au kutolewa amri za DC na RC kuzuia mikutano na vikao vya chama katika Mikoa 24 sasa iwe kwa maagizo kutoka juu au kwa taarifa za kiintelijensia.
Najaribu kuona kila jambo jema moja la Shujaa katika mabaya yake mengi, sipati.
Kwanini alidhamiria kuua vyama vya upinzani.
WHY?
Ila kasema mpaka sasa,Mkuu ila Tanzania Bara haina mikoa 26 tu mkuu
Rekebisha hapo
Idadi ya Niko 26 ilikua kipindi kile Mkapa alivyoongeza mkoa wa Manyara
Baada ya hapo imeongezwa mikoa ya Katavi,Simiyu,Geita,Songwe na Njombe
Hivyo Tanganyika (Mnayoita Bara) ina mikoa 31 na pengine kiujinga ujinga utaongezwa wa 32 hivi karibuni
Sijaongelea 24(mikoa waliyopita mpaka sasa) nimeongelea 26(amesema kati ya 26 ya Tanzania Bara)Ila kasema mpaka sasa,
Yes ni ingizo jipya kwa tarehe ila sisi ni wazoefu humu tangu enzi za akina MAGAZINE, MZEE MUKARUKA na wengi wengine. Sijui wewe ulikuwa wapi wakati huo. Haya ni majina ya Akaunti mpya tu kuendana na muda na majira kwa sababu mujarabu kwa malengo mahususi! Upo hapo, lete pointi na hoja siyo VIHOJA na VIOJA!Kumbe Ingizo jipya !
Wasema weye! Na hiyo ni haki yako kufanya speculation na madhanio!Wewe ni mmoja wawalioamini katika matumizi ya mabavu, na uonevu usio na tija, kumbuka enzi mpya hizi.
Ndiyo maana alikufa yeye mwenyeweCHADEMA wamefika mikoa 24 kati ya 26 Tanzania Bara bila kukamatwa na Polisi au kutolewa amri za DC na RC kuzuia mikutano na vikao vya chama katika Mikoa 24 sasa iwe kwa maagizo kutoka juu au kwa taarifa za kiintelijensia.
Najaribu kuona kila jambo jema moja la Shujaa katika mabaya yake mengi, sipati.
Kwanini alidhamiria kuua vyama vya upinzani.
WHY?
Amebakiza kujenga mifumo imara itayojenga uongozi imara. Hii itajengwa kwa kuwepo Katiba mpya inayotokana na wananchi.Chadema na vyama vingine vya siasa vimeachwa viendelee na shughuli zao, ili watapoangukia pua mwaka 2025, wasije na lawama za kuzuiliwa kufanya mikutano na mizunguko yao. Nadhani safar hii lawama zao watazihamishia kwa tume na katiba mpya. Kwa style hii ya uongozi wa mama uliotukuka, lazima viongozi wa upinzani watangaze kususia uchaguzi ili kuficha aibu watakayokumbana nayo mwaka 2025. Uongozi wa mama anatumia zaidi akili, utu, upendo na ujasiri, pia anatatua kero za wananchi wake, na hapindishi pindi sheria wala kuvunja katiba.
Aliyejitia kimbelembele kutaka kuifuta Chadema amefutika yeye kwe uso wa dunia anagaragazwa jehanam ya moto.
Hayo ni maneno ya kujipa imani tu, hujui yajayo! Tusubiri kabla ya kusema maneno ya hovyo.
Lete HOJA ndugu, wacha vineno visivyo na tija humu JF kijana!Taga unahangaika sana, na hupati teuzi, amini nakwambia utabaki taga wa buku 7 maisha.
How can one be afraid of a toothless bull dog?CHADEMA wamefika mikoa 24 kati ya 26 Tanzania Bara bila kukamatwa na Polisi au kutolewa amri za DC na RC kuzuia mikutano na vikao vya chama katika Mikoa 24 sasa iwe kwa maagizo kutoka juu au kwa taarifa za kiintelijensia.
Najaribu kuona kila jambo jema moja la Shujaa katika mabaya yake mengi, sipati.
Kwanini alidhamiria kuua vyama vya upinzani.
WHY?