CHADEMA yafika Mikoa 24 ya Tanzania Bara bila kukamatwa wala kuzuiliwa na Polisi

Yaani Chadema wapo free, na nchi ilivyo na mambo mengi hata airtime yao imekuwa ndogo sana.

Mama hapa ameepusha lawama zisizo na msingi.
 
SI KWAKUWA WAMEKUA NA ADABU KUUBWAA? KIPINDI CHA NYUMA MIKUTANO YAO ILIJAA VITISHO NA MAANDAMANO. WATU WALITAMANI MAANDAMANO HADI MSIBANII, KWAHIO WAMEKUWA WAADILIFU KABISAA. MIMI NIMESHIRIKI KIKAO CHAO KIMOJA SIJAONA HATA LUGHA YOYOTE YA UCHOCHEZI WALA LUGHA CHAFU. KWAKWELI WAENDELEEE HIVO HIVOO NA MUNGU AWABARIKI.
Mkuu, wapinzani wapo vile vile, hawajawai kutukana Mtu au kufanya uchochezi wowote! Kuhamasisha maandamano na watu kuandamana ni haki ya kikatiba!
Mabadiliko unayo yaona siyo ya wapinzani, ni serikali imebadilika, tulikuwa awamu ya tano, sasa tupo ya sita!
 
SI KWAKUWA WAMEKUA NA ADABU KUUBWAA? KIPINDI CHA NYUMA MIKUTANO YAO ILIJAA VITISHO NA MAANDAMANO. WATU WALITAMANI MAANDAMANO HADI MSIBANII, KWAHIO WAMEKUWA WAADILIFU KABISAA. MIMI NIMESHIRIKI KIKAO CHAO KIMOJA SIJAONA HATA LUGHA YOYOTE YA UCHOCHEZI WALA LUGHA CHAFU. KWAKWELI WAENDELEEE HIVO HIVOO NA MUNGU AWABARIKI.
Ndugu, kama unayo clip yoyote uonayo ni ya UCHOCHEZI, hebu tuwekee hapo, nasi tuuone.
 
Hapana, hapa hakuna wa kuulizwa, siyo Polisi wala RCs au DCs! Wakuulizwa hapa ni Mbowe na CHADEMA yake! Kulikoni mbona sasa anafanya SIASA za "kiustaarabu" tofauti na hiyo miaka ya nyuma enzi za JPM? Jibu ni rahisi, CHADEMA, kwa sasa wameshika adabu, hawawezi kudiriki kufanya upuuzi wao uliopelekea kufungiwa kufanya siasa, ikiwa ni pamoja na mikutano ya hadhara. Wameshika adabu kweli kweli, na wakidiriki kurudia upuuzi wao wa siku za nyuma, watakiona CHA MTEMA KUNI. Huyu SSH hana mchezo.
Taga unahangaika sana, na hupati teuzi, amini nakwambia utabaki taga wa buku 7 maisha.
 
Alikuwa akijenga mazingira rafiki ndani na nje ya bunge ili aweze kubadilisha katiba kirahisi pasipo kuwepo kizuizi chochote kile akapate kutawala pasipokuwa na ukomo.
Haswa, maana hakujaaliwa kuwa na mvuto wala ushawishi.
 
CHADEMA wamefika mikoa 24 kati ya 26 Tanzania Bara bila kukamatwa na Polisi au kutolewa amri za DC na RC kuzuia mikutano na vikao vya chama katika Mikoa 24 sasa iwe kwa maagizo kutoka juu au kwa taarifa za kiintelijensia.

Najaribu kuona kila jambo jema moja la Shujaa katika mabaya yake mengi, sipati.

Kwanini alidhamiria kuua vyama vya upinzani.

WHY?
Wametoa matusi au vitisho kwa mkuru au wanafaya yao kisha wanasepa?
Zamani mlikuwa hamuwezi kufanya mkutano bila kumtaja magufuli trna kwa matusi na vitisho.

Sas kwa hiyo mikoa mmemtaja samia mara ngapi ili tujue kama mmetukana kisha mkaachwa?
 
Mkuu ila Tanzania Bara haina mikoa 26 tu mkuu

Rekebisha hapo

Idadi ya Niko 26 ilikua kipindi kile Mkapa alivyoongeza mkoa wa Manyara

Baada ya hapo imeongezwa mikoa ya Katavi,Simiyu,Geita,Songwe na Njombe

Hivyo Tanganyika (Mnayoita Bara) ina mikoa 31 na pengine kiujinga ujinga utaongezwa wa 32 hivi karibuni
Ila kasema mpaka sasa,
 
Kumbe Ingizo jipya !
Yes ni ingizo jipya kwa tarehe ila sisi ni wazoefu humu tangu enzi za akina MAGAZINE, MZEE MUKARUKA na wengi wengine. Sijui wewe ulikuwa wapi wakati huo. Haya ni majina ya Akaunti mpya tu kuendana na muda na majira kwa sababu mujarabu kwa malengo mahususi! Upo hapo, lete pointi na hoja siyo VIHOJA na VIOJA!
 
CHADEMA wamefika mikoa 24 kati ya 26 Tanzania Bara bila kukamatwa na Polisi au kutolewa amri za DC na RC kuzuia mikutano na vikao vya chama katika Mikoa 24 sasa iwe kwa maagizo kutoka juu au kwa taarifa za kiintelijensia.

Najaribu kuona kila jambo jema moja la Shujaa katika mabaya yake mengi, sipati.

Kwanini alidhamiria kuua vyama vya upinzani.

WHY?
Ndiyo maana alikufa yeye mwenyewe
 
Chadema na vyama vingine vya siasa vimeachwa viendelee na shughuli zao, ili watapoangukia pua mwaka 2025, wasije na lawama za kuzuiliwa kufanya mikutano na mizunguko yao. Nadhani safar hii lawama zao watazihamishia kwa tume na katiba mpya. Kwa style hii ya uongozi wa mama uliotukuka, lazima viongozi wa upinzani watangaze kususia uchaguzi ili kuficha aibu watakayokumbana nayo mwaka 2025. Uongozi wa mama anatumia zaidi akili, utu, upendo na ujasiri, pia anatatua kero za wananchi wake, na hapindishi pindi sheria wala kuvunja katiba.
Amebakiza kujenga mifumo imara itayojenga uongozi imara. Hii itajengwa kwa kuwepo Katiba mpya inayotokana na wananchi.
 
CHADEMA wamefika mikoa 24 kati ya 26 Tanzania Bara bila kukamatwa na Polisi au kutolewa amri za DC na RC kuzuia mikutano na vikao vya chama katika Mikoa 24 sasa iwe kwa maagizo kutoka juu au kwa taarifa za kiintelijensia.

Najaribu kuona kila jambo jema moja la Shujaa katika mabaya yake mengi, sipati.

Kwanini alidhamiria kuua vyama vya upinzani.

WHY?
How can one be afraid of a toothless bull dog?
 
Back
Top Bottom