Fitinamwiko
JF-Expert Member
- Aug 13, 2012
- 4,803
- 1,416
Uhuni una mwisho
Hebu tuambie reliable sourse ni zipi?sio reliable sosi
Macho yote sasa kwa John Tendwa; CCM hatarini sasa kufutwa kwa sheria ile ile waliotishiwa CHADEMA.
Tendwa amezeeka hawezi kwenda na kasi ya Mageuzi nchini. Anatakiwa abaki na kazi ya ushauri. Kazi nyingine aendelee kuwasimulia wajukuu zake jinsi alivyosaidia kuvuruga mfumo wa vyama vingi.
Tendwa hajitofautishi yeye na Katiba.
Hapo kwenye Bold, napata shida sana na huyu mtu na namna yake anavyo tafsiri mambo mbali mbali, akiwa mshauri huyu si ni balaa!
Nipashe.
Gazeti pendwa la Udaku.
Weka ushahidi hapa
Uhuru na Mzalendo
CDM Chama cha vurugu - Nnape
.........................Kizazi cha nyoka chahitaji ishara.Weka picha ya ilo gari lililoharibiwa
Ivi mwenye CV yake ataondoka lini ofisini?? nikimuona napata kichefuchefu.
Tanzania Daima na Kiu.