Chadema Yafanya Kufuru, Yavuna Wanachama 31,337 Morogoro!

Ukipenda chongo utaona kengeza, wala sikulaumu kwa hilo.
kama wewe upendavyo chongo yaani uoni wala usikii kuhusu fact hizi, maisha bora kwa kila matanzania yameyeyuka ! huoni, ufisadi uliyokisili watu wanafisadi mpaka nauli ya brother! huoni, mabilioni yaliyofichwa uswiss! huoni, vijisent vya chenge! wewe huoni, hata ile chenji ya rada uliyouliyorudishiwa! wewe pia hili huoni na huna hata sababu ya kutaka kujua aliyeiba!, mkuu hivi vyote ni vyongo ambavyo kwa kupenda kizembe huvioni!. wakuu muorodhesheheni vyongo vya mlembo wake ambavyo sijaorodhesha hapa labda atatuelewa mtu huyu nini tunataka watanzania kaa!
 
Yeyote atakayeweza tafadhali katusaidie kumwekea Mkuu Ritz1 pamoja na yule dada FaizaFox ujumbe huu hapa chini kwenye PEGION HOLES zao waje wakajisomee baadaye tu kwa wakati wao maana humu ndani ni kipindi kirefu hawakatishi tena tangu moto wa M4C uanze kwenda juu zaidi sehemu kadhaa nchini.

Nani anasema M4C haitaiingiza Chadema madarakani 2015? Katika mkoa wa Morogoro ambao ni ngome ya ccm chadema imeweza kujizolea wanachama wapya 31,337 na kupokea kadi za CCM 8,000.

Wananchi wa Morogoro wameichangia chadema milioni 18 na uuzaji kadi umekipatia chama milioni 15. Kikubwa jiulize, kama wangekuwa wanagawa kadi bure kama ccm wangepata wanachama wangapi?

Nina imani kubwa nguvu hii ikiendelea, chadema itaingia ikulu 2015.


Source. Tz Daima, uk 4
 
Kwahiyo waliobaki wengine wote ni CCM? Hebu jiulize hiyo 31k ni % ngapi ya population ya moro.

Hii misemo yenu ni babu kubwa lakini.
 
Mimi nasema hawataingia Ikulu, si 2015 si 2020.

Nadhani lengo kubwa sio tu kuingia ikulu, ni kuleta mabadiliko, kuongeza fursa za uwakilishi katika ngazi za mitaa/vitongoji, kata, Majimbo, nk. Ujue kupata wabunge wapya 10 kwa chama cha upinzani kwa nchi kama Tanzania ni mafanikio makubwa sana kidemokrasia. So usijali sana kutokuingia ikulu mwaka 2015 au 2020, yaani hiyo ni miaka kidogo sana kwa mabadiliko ya kweli. ikitokea, it is well and good. Isipotokea, usikate tamaa kwasababu tayari vuguvugu la kidemokrasia litakuwa limeanzishwa. Naamini hata kama CDM wataingia ikulu kesho, hawatakuwa na furaha ya kweli kama watanzania wengi hawajaelewa hilo wimbi la mabadiliko, cause wataondolewa madarakani within muda mfupi tu. Nadhani lengo liwe wawakilshi zaidi katika ngazi za mitaa, vitongoji, kata, majimbo, nk. then mle mjengoni kuwe na wabunge wa upinzani kama 150 hivi. I can surely tell you, nadhani hata CDM wenyewe wanajua, ni bora waongeze kundi kubwa la wabunge na wawakilishi wengine katika ngazi zote kuliko kuwahi ikulu wakiwa na wabunge 49.
 
Nadhani lengo kubwa sio tu kuingia ikulu, ni kuleta mabadiliko, kuongeza fursa za uwakilishi katika ngazi za mitaa/vitongoji, kata, Majimbo, nk. Ujue kupata wabunge wapya 10 kwa chama cha upinzani kwa nchi kama Tanzania ni mafanikio makubwa sana kidemokrasia. So usijali sana kutokuingia ikulu mwaka 2015 au 2020, yaani hiyo ni miaka kidogo sana kwa mabadiliko ya kweli. ikitokea, it is well and good. Isipotokea, usikate tamaa kwasababu tayari vuguvugu la kidemokrasia litakuwa limeanzishwa. Naamini hata kama CDM wataingia ikulu kesho, hawatakuwa na furaha ya kweli kama watanzania wengi hawajaelewa hilo wimbi la mabadiliko, cause wataondolewa madarakani within muda mfupi tu. Nadhani lengo liwe wawakilshi zaidi katika ngazi za mitaa, vitongoji, kata, majimbo, nk. then mle mjengoni kuwe na wabunge wa upinzani kama 150 hivi. I can surely tell you, nadhani hata CDM wenyewe wanajua, ni bora waongeze kundi kubwa la wabunge na wawakilishi wengine katika ngazi zote kuliko kuwahi ikulu wakiwa na wabunge 49.

Hapo nakuunga mkono, lakini kuongoza nchi kwa kuingizwa Ikulu, ni bado.
 
Hata mimi naamini Mungu mmoja na naamini Mungu hawezi fanya makosa ya kuwapa uongozi wa nchi watu wasio na maadili.


Wala! Kuna miungu kibao. Kuna wanaoamini jua ni mungu wao, wengine ng'ombe, mito ya maji, milima, moto nakadhalika. Ukiamini Mungu mmoja hiyo ni imani yako, endelea. Tungezungumzia maadili FISI WENU wala mungu wao asingewahesabu kutawala nchi hii achilia mbali uongozi ambao haupo kwa FISI WENU. Ninachojua Mungu si Zomba. Labda awe jogoo, lakini naye awike asiwike kutakucha tu!
 
haina haja ya kulumbana wakati ukweli uanaonekana, mimi nipo Morogoro mjini kata ya kilakala, hii ni moja ya ngome za ccm LAKINI leo hii ngome yao inavunjwa kwa sababu
1. Wapambe 6 wa diwani aliye madarakani wanavaa magwanda leo, wanne kati yao ni viongozi wa ccm kata

2. Wanachama wapya 40 ( mpaka muda huu watajiunga na CDM, naamini idadi itaongezeka)

3. Kuna wasomi saba ( PHD level) wamevaa gwanda jana

4. Wanachama 3 wa CCM ambao ni wafanya biashara wametuchangia na wameahidi kuchangia zaidi ILA wameomba kutowekwa majina yao hadharani

>> anayetaka kuthibitisha haya aje kuanzia saa 5 asubuhi karibu na ofisi za kata ya Kilakala, hapo kutafunguliwa TAWI LA CHADEMA ...... Na saa 10 jioni utafanyika mkutano wa kata kwenye uwanja wa mpira wa kilakala.
 
haina haja ya kulumbana wakati ukweli unaoonekana, mimi nipo Morogoro mjini kata ya kilakala, hii ni moja ya ngome za ccm LAKINI leo hii ngome yao inavunjwa kwa sababu
1. Wapambe 6 wa diwani aliye madarakani wanavaa magwanda leo, wanne kati yao ni viongozi wa ccm kata

2. Wanachama wapya 40 ( mpaka muda huu watajiunga na CDM, naamini idadi itaongezeka)

3. Kuna wasomi saba ( PHD level) wamevaa gwanda jana

4. Wanachama 3 wa CCM ambao ni wafanya biashara wametuchangia na wameahidi kuchangia zaidi ILA wameomba kutowekwa majina yao hadharani

>> anayetaka kuthibitisha haya aje kuanzia saa 5 asubuhi karibu na ofisi za kata ya Kilakala, hapo kutafunguliwa TAWI LA CHADEMA ...... Na saa 10 jioni utafanyika mkutano wa kata kwenye uwanja wa mpira wa kilakala.
 
Wala! Kuna miungu kibao. Kuna wanaoamini jua ni mungu wao, wengine ng'ombe, mito ya maji, milima, moto nakadhalika. Ukiamini Mungu mmoja hiyo ni imani yako, endelea. Tungezungumzia maadili FISI WENU wala mungu wao asingewahesabu kutawala nchi hii achilia mbali uongozi ambao haupo kwa FISI WENU. Ninachojua Mungu si Zomba. Labda awe jogoo, lakini naye awike asiwike kutakucha tu!

Pumba nyingi huna jipya. Hapana Mungu apasae kuabudiwa ila Mmoja tu. Hao wengone wote feki, Mungu ng'ombe? ambae ni kitoweo cha wengine? kwi kwi kwi teh teh teh!
 
I'm sure when 2015 Chadema take over, kuna watu kama zomba watabadili id zao!
 
Last edited by a moderator:
Mimi nasema hawataingia Ikulu, si 2015 si 2020.

Hata mimi naamini Mungu mmoja na naamini Mungu hawezi fanya makosa ya kuwapa uongozi wa nchi watu wasio na maadili.


Mkuu, ukubali usikubali CDM kina mvuto kwa Watanzania.

Angalia Morogoro hapo: ambapo bado CDM haina mbunge. Ambayo ni moja ya ngome za CCM!
One-of-CHADEMA-Morogoro-meetings.jpg
 
I'm sure when 2015 Chadema take over, kuna watu kama zomba watabadili id zao!

"While you are alive, you don't have to deal with being dead, but when you are dead you don't have to deal with it either, because you aren't there to deal with it." D. S. Hutchinson
 
Mkuu, ukubali usikubali CDM kina mvuto kwa Watanzania.

Angalia Morogoro hapo: ambapo bado CDM haina mbunge. Ambayo ni moja ya ngome za CCM!

Kuna aliyekuwa na mvuto zaidi Mrema? katika siasa za vyama vingi? fikiri!
 
Kuna aliyekuwa na mvuto zaidi Mrema? katika siasa za vyama vingi? fikiri!

wa-tz wa sasa si wa mwaka 95 , wa-tz wa sasa wanajua wanapotaka kuelekea, na wanachotaka ni nini, hakuna cccm itakachofanya kubadili uelekeo wao!
 
Kuna aliyekuwa na mvuto zaidi Mrema? katika siasa za vyama vingi? fikiri!


Ok. Mrema alikuwa na mvuto kama mtu binafsi, huu ni mvuto wa Chama.

Kwa wana CCM kupuuzia mvuto huu wa Chadema si kwa hasara ya Chadema! Ni kwa faida ya Chadema.

Kumbuka hawa watu wa Morogoro tangu mpango wa vyama vingi wamekuwa wakereketwa wa CCM. Mara inatokea kwa maelfu wanajiunga na CDM, bila kupewa kanga wala kofia wala wali bali kwa kuvutiwa na chama.

Wanakuja mikutanoni kwa usafiri wao na si kwa kuletwa na malori, na zaidi wanachangia chama badala ya kupewa pesa na chama.

Fikiri!
 
Ok. Mrema alikuwa na mvuto kama mtu binafsi, huu ni mvuto wa Chama.

Kwa wana CCM kupuuzia mvuto huu wa Chadema si kwa hasara ya Chadema! Ni kwa faida ya Chadema.

Kumbuka hawa watu wa Morogoro tangu mpango wa vyama vingi wamekuwa wakereketwa wa CCM. Mara inatokea kwa maelfu wanajiunga na CDM, bila kupewa kanga wala kofia wala wali bali kwa kuvutiwa na chama.

Wanakuja mikutanoni kwa usafiri wao na si kwa kuletwa na malori, na zaidi wanachangia chama badala ya kupewa pesa na chama.

Fikiri!

Naona huelewi kuwa anaechaguliwa ni mtu na si chama Tanzania hii, mifano mizuri mingi tu, mmoja wapo Shibuda.

Hilo la kuchangia chama wala usililete, hata CDU wanakichangia wao wana maslahi yepi Tanzania? Sabodo anakichangia nae ni kada wa CCM. Hata binti Makamba kachangia M4C kwa kampuni inayomilikwa na Rostam Aziz kwa asilimi kubwa, au umesahau? Tumeona Mbowe akichangia msikiti ina maana yeye Muislaam? tumeona Rostam akichangia Kanisa ina maana yeye Mkristo? Kuna ushahidi wa Rostam kumsaidia kifedha Mtikila ina maana yeye ni sijui chama gani cha Mtikila? Huo wa uchangiaji ni mfano mbovu wala usiulete.
 
Mwanzo mwisho hakuna kulala ''Peoples power'' God bless Chadema. Safi sana M4C 4rever
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom