ibesa mau
JF-Expert Member
- Sep 17, 2015
- 2,109
- 1,692
Nembo ni ya chama na chama ni cha wanachama ndio hao hao waliogombea .chama sio cha viongoziWametangaza kujitoa, hawataki. Kwanini mtumie nembo yao ??? Hawatakiiiii
Nembo ni ya chama na chama ni cha wanachama ndio hao hao waliogombea .chama sio cha viongoziWametangaza kujitoa, hawataki. Kwanini mtumie nembo yao ??? Hawatakiiiii
Ruzuku sio mali ya CCM Mbwa wewe ile ni Mali ya watanzaniaWarudishe na ruzuku pesa za wanannchi ,wakisema hivyo namshauri msajiri afute ruzuku yote anayowapa hao vilaza
State agent
Na uchaguzi niwakwetu watanzania sio wa CCMHiyo ruzuku ni hela yetu watanzania siyo ya CCM
Hawa nao siasa zimewashinda sasa..wanataka kubrmbelezwa kama watoto
NguruweUna aibisha mkoa wetu wewe mbw!
Hivi ni kweli ninyi ni wajinga kiasi hiki au mnaigiza tu?Kumbe hakukuwa na namna ha hapa zito na sipunda (ACT WAZALENDO na CHAUMA ) wameingia cha kike wenzao wamefulia hawana hata pesa za kujaza mafuta Magari
Ruzuku zote zimeliwa na hata michango ya wabunge na wanachama haijulikani ,baadhi ya wabunge walitaka ijibiwe mbowe akasema wasubiri
Uchaguzi wa ndani imegubikwa na njaa kali kesho ndio deadlock bado hakuna hata viashiria vya kufanyika uchaguzi
Hili la kuwarudisha uringoni ni hatari maana zile ruzuku za kampaini za serkali za mitaa zimeliwa yale mafusu hayana hata tire na hilux zimefulia mafuta
Hawataweza kufanya kampain yoyote maana wako hovyo mfukoni
State agent
Wamerudishws kamandaKama hawana fedha msingewaambia watendaji wakimbie na fomu na kuzima simu
Hakuna kurudi uwanjani endapo
1. Watendaji walewale
2. Sheria zilezile
3. Mazingira yaleyale
Maana yake watajitangaza tu kiholela kama walivufuta wenzao kiholela
Ilikurudi uwanjani
1. Tume huru ya uchaguzi
2. Siasa ziruhusiwe majukwaani
3. Katiba ya jaji warioba
Wasalaam
Waziri ndio kichwa?!Ukitaka kuua nyoka, mpige kichwani.