CHADEMA yadai kwamba iliwasilisha Kwa Spika wa Bunge Taarifa ya Mdee na wenzake kushindwa kesi mara tu baada ya uamuzi wa Mahakama

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,343
217,375
Naibu Katibu Mkuu wa Chadema, Salum Mwalimu, amesema kwamba chama chake kiliwasilisha kwa Spika wa Bunge la Tanzania taarifa ya kutupwa kwa kesi iliyofunguliwa na Halima Mdee na wenzake mara tu baada ya Uamuzi wa Mahakama kutolewa.

Kwahiyo visingizio vyovyote vitakavyoletwa na Spika wa Bunge hilo, vya kuwabeba wabunge wale 19 wasio na chama chochote cha siasa, kama Katiba ya Nchi inavyoelekeza ni Ukaidi na Kiburi chake mwenyewe ili kukidhi matakwa yake, na ni UVUNJIFU WA MAKUSUDI WA KATIBA YA NCHI, kama alivyozoea kuivunja mara zote.

Bali jambo kubwa linalopaswa kufahamika na Tulia Ackson na wapambe wake ni hili, KILA UBAYA UTALIPWA.

Pia soma - Wabunge waliofukuzwa CHADEMA wapo Bungeni leo Juni 23, 2022, Spika kawaruhusu kuuliza maswali
 
JAMANI KATIBA NI MAKARATASI TU HUYO MAMA AKIJISIKIA KUIFATA AU LA NI UAMUZI WAKE HAKUNA KINABO YOYOTE WA KUMGUSA NCHI HII
 
Kesi bado haijaisha, kwa kushirikiana na mwanasheria anaetutea tuko bize kurekebisha dosari zilizojitokeza na kesho tunafungua kesi upya, tumeisha itaarifu ofisi ya spika ndio mana ametulia kwanza! 😂
 
Naibu Katibu Mkuu wa Chadema, Salum Mwalimu, amesema kwamba chama chake kiliwasilisha kwa Spika wa Bunge la Tanzania taarifa ya kutupwa kwa kesi iliyofunguliwa na Halima Mdee na wenzake mara tu baada ya Uamuzi wa Mahakama kutolewa.

Kwahiyo visingizio vyovyote vitakavyoletwa na Spika wa Bunge hilo, vya kuwabeba wabunge wale 19 wasio na chama chochote cha siasa, kama Katiba ya Nchi inavyoelekeza ni Ukaidi na Kiburi chake mwenyewe ili kukidhi matakwa yake, na ni UVUNJIFU WA MAKUSUDI WA KATIBA YA NCHI, kama alivyozoea kuivunja mara zote.

Bali jambo kubwa linalopaswa kufahamika na Tulia Ackson na wapambe wake ni hili, KILA UBAYA UTALIPWA.

Pia soma - Wabunge waliofukuzwa CHADEMA wapo Bungeni leo Juni 23, 2022, Spika kawaruhusu kuuliza maswali

Speaker anachukua hatua baada ya kupokea nakala ya court ruling na kuisoma. Hachukui hatua on the basis of what a party to the dispute is saying “the court said”!
 
Speaker anachukua hatua baada ya kupokea nakala ya court ruling na kuisoma. Hachukui hatua on the basis of what a party to the dispute is saying “the court said”!

..Spika alikuwa anawakilishwa/anatetewa na mawakili wa ofisi ya AG.

..Na AG anahudhuria vikao vya bunge kutokana na nafasi yake.

..Pia hapa chini kuna maelezo ya Spika Tulia akizungumzia suala la JUDICIAL NOTICE linavyohusiana na shauri la kina Mdee.

 
Hebu tujaribu kuuliza, huyu Tulia Ackson, hivi hiki kiburi chote anachokionyesha, ni nani hasa anayempa jeuri hiyo?
Dk. Tulia sio kiburi bali ni mtaalamu mbobezi wa sheria. Anajua taratibu zote za kufuata. Hawezi kuelekezwa na Salum Mwalimu.
 
Back
Top Bottom