Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,549
- 217,825
Hii ndio taarifa mpya kwa leo , Kwamba sasa ni Rasmi CHADEMA imefungulia upya Makongamano ya kuelimisha wananchi Kuhusu Umuhimu wa Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi , leo ilikuwa Zamu ya Tunduma na Magu .
Kaa tayari kwa Ratiba kamili pamoja na Majina ya Watu Wazito watakaotoa mada .
UVUMILIVU UNA MWISHO .
Kaa tayari kwa Ratiba kamili pamoja na Majina ya Watu Wazito watakaotoa mada .
UVUMILIVU UNA MWISHO .