Bongolander
JF-Expert Member
- Jul 10, 2007
- 5,067
- 2,197
Kitila na wengine, kidogo ningependa kutofautiana na nyie(ndio Demokrasia yenyewe). Naona ni jambo jema kwa CUF kushirikiana na CUF na sio kujiimarisha Zanzibar na kui-weaken CUF visiwani kwa advantage ya CCM. Political Mathematics zinaonesha kuwa chama cha tatu hakiwezi kushinda Zanzibar hata kidogo, labda kiwe na lengo la kutaka kuteam up na chama kingine kama ilivyo ODM-Kenya.
Mimi naona hii ni kama excuse ya Chadema kukimbia kazi ngumu iliyoko bara. Uwanja sasa mmepewa, CCM ndio inaoza imejichimbia kaburi, what are you doing now? Kuna mikakati gani ya kukamata bunge ambalo ni moja ya center ya mapambano? I real do not see it, and sometimes i get really mad. Naona kama uzembe wenu ndio unawafanya mafisadi waendelee kutamba, you need to mount a considerable pressure in mainland, get more parliamentary seats in 2010.
Tanzania iko tayari kwa Chadema lakini Chadema inaonekana kama inasita kuwa Tayari kwa Tanzania....just opinion!
Mimi naona hii ni kama excuse ya Chadema kukimbia kazi ngumu iliyoko bara. Uwanja sasa mmepewa, CCM ndio inaoza imejichimbia kaburi, what are you doing now? Kuna mikakati gani ya kukamata bunge ambalo ni moja ya center ya mapambano? I real do not see it, and sometimes i get really mad. Naona kama uzembe wenu ndio unawafanya mafisadi waendelee kutamba, you need to mount a considerable pressure in mainland, get more parliamentary seats in 2010.
Tanzania iko tayari kwa Chadema lakini Chadema inaonekana kama inasita kuwa Tayari kwa Tanzania....just opinion!