CHADEMA yaanika unyama wa kundi la Green Guard ya CCM

du, huyu baba yako ana kazi kweli kweli, loh anakomaa utafikiri ana uwezo wa kubadili uongo kuwa kweli na watu wakamwamini

Mkuu huyo ni Mwigulu Nchemba

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Hii habari ni ya uchochezi ndiyo maana hauwezi kuikutana kwenye magazeti mengine tofauti na gazeti la udaku Tanzania Daima.

mkuu Ritz
Habari wamejitungia wenyewe Chadema taasisi za kitapeli achana nazo sisi tunadili na taasisi zinazojulikana kimataifa; hizi habari kuandikwa kwenye shelter za homeless zikuumize kichwa!
 
Last edited by a moderator:
Hii habari ni ya uchochezi ndiyo maana hauwezi kuikutana kwenye magazeti mengine tofauti na gazeti la udaku Tanzania Daima.

ni ya uchochezi kwa kuwa inajenga chuki.ila maneno yameambatana na ushahidi ikiwepo namba za magari,majina nk
 
Mwigulu&Co. aka babayako&Co wanahaha ile mbaya, wanataka ardhi ipasuke wazame huko ndani.
Ukweli unaumaaa.
 
Kumejaa upuuuzi wa kupitiliza, kwa haya yote yaliyo andikwa inaonesha seriakali imeshindwa kazi, na hiyvo habari za mauaji ya rai imgeuzwa kuwa muziki wa taarab, iwe ni CCM au Chadema, haya matatizo lawama ni kwa serikali maana wanawajibu, na namna gani umekosa akilli, unashindwa kuona jinsi serikali ilivyo shindwa kufuatili swala la Ulimboka, time will tell, wala muda si mwingi, hawa mapropaganda waliyo jazwa humu watajificha chooni. Tanzania imegeuzwa nchi ya waimba taarab kwa kukosa uongiz thabiti
 
Haya ndio matunda ya slaa kwa safari zake za ujerumani? Yaani watu wengine machizi habari za kipuuzi mzipeleke nyie kwa hizi taasisi za kisanii halafu mnataka tuamini huu upuuzi? Mtaishia kuchamba mavi tu lakini serikali ya Tanzania ni moja ya serikali chache za kiafrika zinazoheshimu utawala wa kisheria: ushauri wa bure kwako Molemo shule huna kichwani mtupu jifundishe angalau kilimo baada ya 2015 utakuwa huna shughuli huyo mungu atakuwa amejifia kisiasa labda akupe kazi ya uyaya; mfikishie waraka huu Mwita Maranya

Mboba CCM mna jazba hivi?Anyway hivi kwanini hamtaki Serikali tatu?Mnahofia nini au mnahofia kupigwa bao kirahisi katika Uchaguzi wa Urais wa Zanzibar na Maalim Seif na Dr Slaa kwa upande wa Tanganyika.Amini nakwambia hata mfanyaje CCM lazima itoke madarakani 2015.That's a vow!
 
Last edited by a moderator:
Huu ujinga wa CHADEMA kutekeleza uhalifu na baadaye kujipanga kuupeleka kwa wananchi kuwa ni CCM , watanzania tusipokuwa makini machafuko hayaepukiki tukubali kuyapokea tu.

Mimi siyo Chadema wala CCM lakini najua na nina uhakika kwamba ugaidi wote unafanywa na CCM. CCM afadhali mnyamaze au muongelee mambo ya maendeleo. Otherwise mtaumbuka
 
Haya ndio matunda ya slaa kwa safari zake za ujerumani? Yaani watu wengine machizi habari za kipuuzi mzipeleke nyie kwa hizi taasisi za kisanii halafu mnataka tuamini huu upuuzi? Mtaishia kuchamba mavi tu lakini serikali ya Tanzania ni moja ya serikali chache za kiafrika zinazoheshimu utawala wa kisheria: ushauri wa bure kwako Molemo shule huna kichwani mtupu jifundishe angalau kilimo baada ya 2015 utakuwa huna shughuli huyo mungu atakuwa amejifia kisiasa labda akupe kazi ya uyaya; mfikishie waraka huu Mwita Maranya

Nilishakuonya usijadili threads zangu.

Na nilishasema sitabishana na -------- hata siku moja.

Ninasikitika hata kukujibu kwa sababu huna thamani yoyote ya kujibiwa.
 
Last edited by a moderator:
acha unafiki ww jibu hoja iliyoko mezani
1. Ww ndio moderator??
2. Jf ni ya mjomba ako au ya kwako??
3. Hizo id zilizofungiwa ni zipi???
acha kutumika ww, thibitisha maneno yako otherwise hii ni name calling na adhabu yake ni ban, mods mshughulikieni huyo
Kwa maneno haya imedhihiri kwamba kweli unatumia IDs nyingi sana hapa JF kwa malengo mabaya!
 
The Red Brigades terrorize Italy


On this day in 1974, Italian prosecutor Mario Sossi is kidnapped by the Red Brigades. It was the first time that the left-wing terrorist group had directly struck the Italian government, marking the beginning of tensions that lasted for 10 years.


The Red Brigades were founded by college student Renato Curcio in 1969 to battle "against the imperialist state of the multinationals." At first, the fledgling organization restricted its activities to small acts of vandalism and arson. However, in 1972, they abducted business executive Idalgo Macchiarini, releasing him a short time later with a sign that said, "Hit one to educate 100. Power to the armed populace." The Red Brigades kidnapped several other executives in the years following.


The kidnapping of Mario Sossi marked the first time that the Red Brigades demanded a ransom: They insisted on the release of eight imprisoned members. After fellow prosecutor Francesco Coco agreed to the demand, Sossi was released. However, Coco reneged on the deal and infuriated the Red Brigades.


Over the next several years, the terrorist group kidnapped 26 wealthy men and women to fund their criminal enterprises, extorting as much as $2 million for one abduction. They also got revenge on Coco, killing him in 1976. That same year, 49 members were prosecuted in Turin, prompting several retaliatory shootings against government officials.


In 1978, the ante was upped even further after some of the Red Brigades' leaders were arrested. Aldo Moro, a former Italian prime minister, was kidnapped on March 16, 1978, and five bodyguards were killed in the attack. For 55 days, the terrorists made various demands while taunting Moro's family with fake death announcements. On May 9, after their demands were refused, Moro's body was found in the trunk of a red car in the middle of Rome. He had been shot 11 times in the chest. The Red Brigades killed seven more politicians in the next week, terrorizing the whole country of Italy.


Sixty-three persons ended up being charged with involvement in Moro's murder. Prospero Gallinari, the actual shooter, and 22 others were convicted and sentenced to life imprisonment. The Red Brigades were finally crushed in the early 1980s when over 400 members were jailed.

mkuu hata uka paste server nzima ya wikipedia hapa ukweli utabaki palepale GREEN GUARD IS A JANJAWEED.
 
CHADEMA ina viongozi wa ajabu kweli. Hawana hata kumbukumbu ya kile walikisema wiki moja iliyopita.

Kwa sasa wameifahamu maana ya neno UGAIDI na pia wamekifahamu kikundi kinachofanya UGAIDI lakini bado hawafahamu kama kuna mtu anaweza akapanga UGAIDI.

Maneno mengi ya nini wakati kamati kuu ya CHADEMA imeamua kuanzisha mafunzo ya Red brigade. Hii ni dalili ya kuweweseka na kauli ya kiongozi " dhaifu".

Maji mmeyavulia nguo hakuna tena mjadala kwenye kuyaoga, kinyume cha hivyo ni kuendeleza siasa zenu za kilaghai.

Wadhungu wanasema, an empty tin always makes most noise.

Nguvu za kuongea nyingi, action bupkis.

Hamuwezi kutumia uwongo kupambana na ukweli.

Mwigulu nchemba anasema hawa wanajifunza ujasiliamali


1070095_488959561188043_854384219_n.jpg
 
mnyika nae kwa kupenda promo!!!!
huu upuuzi wote anajua kuwa umefanywa na chadema, ila wao wanapiga siasa kupitia damu za wahanga.
mwanzo wa andiko hadi mwisho ni siasaaaaaaaa plus ujingaaaaaa.
hawa vibaraka wa MAKENGEZAMAN ni watumwa hawa
 
The Red Brigades terrorize Italy


On this day in 1974, Italian prosecutor Mario Sossi is kidnapped by the Red Brigades. It was the first time that the left-wing terrorist group had directly struck the Italian government, marking the beginning of tensions that lasted for 10 years.


The Red Brigades were founded by college student Renato Curcio in 1969 to battle "against the imperialist state of the multinationals." At first, the fledgling organization restricted its activities to small acts of vandalism and arson. However, in 1972, they abducted business executive Idalgo Macchiarini, releasing him a short time later with a sign that said, "Hit one to educate 100. Power to the armed populace." The Red Brigades kidnapped several other executives in the years following.


The kidnapping of Mario Sossi marked the first time that the Red Brigades demanded a ransom: They insisted on the release of eight imprisoned members. After fellow prosecutor Francesco Coco agreed to the demand, Sossi was released. However, Coco reneged on the deal and infuriated the Red Brigades.


Over the next several years, the terrorist group kidnapped 26 wealthy men and women to fund their criminal enterprises, extorting as much as $2 million for one abduction. They also got revenge on Coco, killing him in 1976. That same year, 49 members were prosecuted in Turin, prompting several retaliatory shootings against government officials.


In 1978, the ante was upped even further after some of the Red Brigades' leaders were arrested. Aldo Moro, a former Italian prime minister, was kidnapped on March 16, 1978, and five bodyguards were killed in the attack. For 55 days, the terrorists made various demands while taunting Moro's family with fake death announcements. On May 9, after their demands were refused, Moro's body was found in the trunk of a red car in the middle of Rome. He had been shot 11 times in the chest. The Red Brigades killed seven more politicians in the next week, terrorizing the whole country of Italy.


Sixty-three persons ended up being charged with involvement in Moro's murder. Prospero Gallinari, the actual shooter, and 22 others were convicted and sentenced to life imprisonment. The Red Brigades were finally crushed in the early 1980s when over 400 members were jailed.

Tunajadili mambo ya Tanzania, we unatuwekea mambo ya Itary tena matukio ya zamani, hivi kweli tuko wote au umeamkia kwenye viroba?
 
acha unafiki ww jibu hoja iliyoko mezani
1. Ww ndio moderator??
2. Jf ni ya mjomba ako au ya kwako??
3. Hizo id zilizofungiwa ni zipi???
acha kutumika ww, thibitisha maneno yako otherwise hii ni name calling na adhabu yake ni ban, mods mshughulikieni huyo
haya matusi yanafanana na ya Mwigulu kabisa.
 
mnyika nae kwa kupenda promo!!!!
huu upuuzi wote anajua kuwa umefanywa na chadema, ila wao wanapiga siasa kupitia damu za wahanga.
mwanzo wa andiko hadi mwisho ni siasaaaaaaaa plus ujingaaaaaa.
hawa vibaraka wa MAKENGEZAMAN ni watumwa hawa

Sio ujinga watu wanateketea Kwa kufa na kuumizwa kuna haja yakupiga narufuku hivi vikundi unaweza kuniambia kwanini tusipige marufuku haka kakikundi? Au kwa sababu kanahusu CCM

1070095_488959561188043_854384219_n.jpg
 
Nilishakuonya usijadili threads zangu.

Na nilishasema sitabishana na -------- hata siku moja.

Ninasikitika hata kukujibu kwa sababu huna thamani yoyote ya kujibiwa.

Mkuu Molemo,

Itakuwa ngumu unaanzisha uzi halafu unachaguwa watu wa kuchangia hii ni forum.

Cha msingi ni kujikita kwenye hoja.
 
Last edited by a moderator:
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom