TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 22,949
- 8,843
mkuu huyu TIMING ndiyo wale wale walioko humu kwa ajili kuganga njaa na kukimbilia kuwaambia wengine wachukue buku saba lumumba pale mabwana zao wanapoambiwa ukweli.
Aisee... sio buku saba mazee, wameongea sasa ni buku kumi, kwani wewe bado upo kwenye saba?? ujue unaliwa