S.Liondo
JF-Expert Member
- Apr 20, 2011
- 3,408
- 1,712
Acha unafiki, aliyekwambia wanaenda kulipwa ruzuku na serikali ni nani?Naona Chadema wanapita njia zile zile wanazopita CCM mambo ya semina ni matumizi mabovu ya ruzuku kulipana posho ambazo ni kodi zetu...inaingia akilini watu wanatoka mikoani waende Karagwe Kagera, kwa nini wasifanyie Makao Makuu Dar es Salaam.