johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,616
- 141,441
Chadema wamesema Kongamano la katiba siyo miongoni mwa mikusanyiko inayohitaji kuombewa kibali kwa mujibu wa sheria
Chadema wamesema watachukua tahadhari zote dhidi ya Corona katika kongamano la katiba hapo kesho kama ilivyoelekezwa na wizara ya afya
Nawasalimu kwa jina la JMT!
Chadema wamesema watachukua tahadhari zote dhidi ya Corona katika kongamano la katiba hapo kesho kama ilivyoelekezwa na wizara ya afya
Nawasalimu kwa jina la JMT!