wazambia kwa ujumla ni wavivu kuliko wabongo, na sidhani kama kuwafukuza wahindi na wachina ndio kutainua uchumi wa wazalendo, likewise to wabongo. ngoja tusubiri na kuona utekelezaji, maaana kuahidi ni kwingine na kutekeleza ni jambo lingine.sidhani kama watafanya lolote kwa watanzania,kwa taarifa yako wazambia wanawaheshimu sana watanzania,nimeishi pale naelewa,ugomvi wao ni wachina,walebanon,na wahindi,kuhusu wazungu hasa kutoka south africa wanakubalika sana
hata hivyo, Hongera upinzani kwa ushindi.