jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,052
- 28,242
Wameumbuka!
Naamini kabisa kamati kuu ya Chadema ilamua kupinga tamko lake la awali la kukataa kuingia kwenye uchaguzi mdogo hadi tume iwatekebishie zile walizoziita dosari wakiwa na one and only mission and that is to disrupt the by election.
Hivi kwa nini hatuwashangai kubadili gia ghafla ghafla tena hata bila kwaandaa wafuasi wao wa mtandaoni?yaani ghafla tu wakaamua kurejea uwanjani chini ya refa yule yule waliyemkataa!!...jibu la swali hili ndio msingi wa hoja yangu.
Kulikuwepo kila kiashiria kuwa Chadema ilijipanga kuleta fujo kwenye uchaguzi huu na strategically katika jimbo la Kinondoni thats why hatujamuona Mbowe akiyaelekeza maandamano kule jimbo la jirani yake (SIHA) na badala yake kaja kuwaletea shari wastaarabu wa Kinondoni.
Mission yao imefail na ninaamini imebakfire na kiukweli watajuta na wanastahili kunyooshwa vilivyo na vyombo husika vya kisheria.
Yaani uchaguzi wamegaragazwa vibaya na kinachofuata ni wao kulipa uvunjifu wa amani walioufanya.
Naamini kabisa kamati kuu ya Chadema ilamua kupinga tamko lake la awali la kukataa kuingia kwenye uchaguzi mdogo hadi tume iwatekebishie zile walizoziita dosari wakiwa na one and only mission and that is to disrupt the by election.
Hivi kwa nini hatuwashangai kubadili gia ghafla ghafla tena hata bila kwaandaa wafuasi wao wa mtandaoni?yaani ghafla tu wakaamua kurejea uwanjani chini ya refa yule yule waliyemkataa!!...jibu la swali hili ndio msingi wa hoja yangu.
Kulikuwepo kila kiashiria kuwa Chadema ilijipanga kuleta fujo kwenye uchaguzi huu na strategically katika jimbo la Kinondoni thats why hatujamuona Mbowe akiyaelekeza maandamano kule jimbo la jirani yake (SIHA) na badala yake kaja kuwaletea shari wastaarabu wa Kinondoni.
Mission yao imefail na ninaamini imebakfire na kiukweli watajuta na wanastahili kunyooshwa vilivyo na vyombo husika vya kisheria.
Yaani uchaguzi wamegaragazwa vibaya na kinachofuata ni wao kulipa uvunjifu wa amani walioufanya.