Kama hayo yaliyoandikwa yako sawa, then chama mbadala hakina vision, huwezi kufirikia kwa mtizamo wa karibu kiasi hicho.
Huwezi kufikiria utakuwa mpinzani forever, huwezi kufirikia siku zote mpinzani wako ni CCM?
Huwezi fikiria always issue ni mafisadi...
It is real a shame, chama kinaandika dira yake kama shairi la rusha roho!
Mkuu Kasheshe,
Umeongea yote, lakini pia hata proofreading hawakufanya. Wote tunafanya makosa ya lugha lakini unapoongelea chama mbadala lazima vitu vidogo kama hivyo uwe na watu wa kuviangalia na kuvirekebisha.
Mrengo nafikiri ilitakiwa iwe Mlengo, uoza nafikiri ilitakiwa iwe uozo.
Zaidi ya hayo message yenyewe ni kama shallow mno na ni mambo ya kijuweni ile mbaya.
Huenda utangulizi huo umeandikwa bila hata vichwa wa CHADEMA kupitia na kuona kama ni sawa.