Power G
JF-Expert Member
- Apr 20, 2011
- 3,886
- 1,193
Kuna Zuzu mmoja sijui linaitwa Saint nani nani, nimeliambia lionyeshe tamko la CDM la kumuunga mkono werema likaishia kuniporomoshea matusi. Kweli nimeamini kuna watu wanawaza kwa kutumia makalio.Kamanda mimi nawataka wale wote wanaodai kwamba "CDM IMEUNGA MKONO KAULI YA WEREMA" walete tamko.
@Njano 5 OLESAIDIMU Ritz ZeMarcopolo FaizaFoxy Rutashobolwa n.k NATAKA TAMKO LA CHAMA