Albedo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,559
- 1,452
Juzi katika kikao cha Bunge, Serikali Kupitia Mwanasheria wake Mkuu Jaji Werema ilitoa taarifa kwamba Mh Zitto Zuberi Kabwe aliyedai kwamba ana Majina ya Watanzania walioficha Pesa Uswisi Kinyume na Taratibu Amesema mbele ya Kiapo kwamba "Hatambui hata Mtanzania Mmoja aliyeficha Pesa Uswisi".
Baada ya Kauli hiyo kumeendelezwa Mijadala Mbalimbali na nimeshuhudia "THREAD" Mbalimbali zikianzishwa lakini zote zikiwa na Maudhui yale yale "CHADEMA WAMEUNGANA NA CCM KUMNANGA ZITTO", "CHADEMA YAMTOSA ZITTO KWENYE ISHU YA MABILIONI YA USWISI"
Mbaya zaidi nimeona "watu wale wale" wakiishia tu Kutunga "Hypothesis" Kujaribu kuelezea "Ni Kwa Nini Zitto ameahirisha Kutaja Majina Kama aliyovyahidi" na "Kwenda Mbali zaidi Kukana Kujua Majina ya Walioficha Uswisi".
Na watu wale wale wameendelea Kutoa Shutuma kwa CDM "Kwa nini Hawajamuunga Mkono Zitto" au "Kwa Nini Wamemuunga Mkono Warema" Katika hili nimeshangaa sana kuwaona watu ambao mimi nawaamini sana na wenye wameshika Bango hoja hii ya CCM
Mods with due respect najua mtashawishika kuinganisha hii thread na zile zingine ambazo zimeshindwa kujibu Maswali ya Msingi
Ninependa kama kuna mtu mwenye Tamko la CDM la Kumuunga Mkono Werema aliweke Hapa ili kama tunailaumu CDM kwa Kuunga Mkono CCM basi tuzungumze kwa Ushahidi na Si Hisia za Watu
Kama zilivyoachwa Thread zingine natumai kwamba na hii itaachwa vile vile bila kuunganishwa
NAOMBENI TAMKO LA CHADEMA KUUNGA MKONO KAULI YA WAREMA
Invisible Paw PainKiller
Baada ya Kauli hiyo kumeendelezwa Mijadala Mbalimbali na nimeshuhudia "THREAD" Mbalimbali zikianzishwa lakini zote zikiwa na Maudhui yale yale "CHADEMA WAMEUNGANA NA CCM KUMNANGA ZITTO", "CHADEMA YAMTOSA ZITTO KWENYE ISHU YA MABILIONI YA USWISI"
Mbaya zaidi nimeona "watu wale wale" wakiishia tu Kutunga "Hypothesis" Kujaribu kuelezea "Ni Kwa Nini Zitto ameahirisha Kutaja Majina Kama aliyovyahidi" na "Kwenda Mbali zaidi Kukana Kujua Majina ya Walioficha Uswisi".
Na watu wale wale wameendelea Kutoa Shutuma kwa CDM "Kwa nini Hawajamuunga Mkono Zitto" au "Kwa Nini Wamemuunga Mkono Warema" Katika hili nimeshangaa sana kuwaona watu ambao mimi nawaamini sana na wenye wameshika Bango hoja hii ya CCM
Mods with due respect najua mtashawishika kuinganisha hii thread na zile zingine ambazo zimeshindwa kujibu Maswali ya Msingi
Ninependa kama kuna mtu mwenye Tamko la CDM la Kumuunga Mkono Werema aliweke Hapa ili kama tunailaumu CDM kwa Kuunga Mkono CCM basi tuzungumze kwa Ushahidi na Si Hisia za Watu
Kama zilivyoachwa Thread zingine natumai kwamba na hii itaachwa vile vile bila kuunganishwa
NAOMBENI TAMKO LA CHADEMA KUUNGA MKONO KAULI YA WAREMA
Invisible Paw PainKiller