wakusoma
JF-Expert Member
- Feb 25, 2008
- 1,085
- 1,049
Ndugu zangu acheni ile logic ya tumejaza watuuu..Sijui mafuriko..hizo Ni siasa za mrema za 1995..now days game(mikakati ya uchaguzi)inapigwa nje ya uwanja.
Mfano mdogo chukulieni mechi za simba na Yanga.. Robo tatu ya mechi inachezwa nje..hii Ni pamoja na uchawi..kuhonga na kadhalika.
Sio siri ccm huwa wanajipanga mapema Sana pengine six month before..kuongea na watu..kuwekana sawa na wanachama wao na kubwa zaidi kuhimizi kujiandikisha..
Ni bora ukam sisitiza MTU mmoja ajiandikishe miezi 4 kabla kuliko kujaza nyomi la watu 200 wakati wa kampeni ambao wahuni tu wala hawakujiandikisha.
Hatujaibiwa..ila tumepigwa kihalali.tutulie tujipange..na mkizidi kuleta malalamiko ya kitoto namna hii na mie nawahama soon.
Tumepigwa kisayansi..tutulie.chungu ila ndiyo tiba.
Mfano mdogo chukulieni mechi za simba na Yanga.. Robo tatu ya mechi inachezwa nje..hii Ni pamoja na uchawi..kuhonga na kadhalika.
Sio siri ccm huwa wanajipanga mapema Sana pengine six month before..kuongea na watu..kuwekana sawa na wanachama wao na kubwa zaidi kuhimizi kujiandikisha..
Ni bora ukam sisitiza MTU mmoja ajiandikishe miezi 4 kabla kuliko kujaza nyomi la watu 200 wakati wa kampeni ambao wahuni tu wala hawakujiandikisha.
Hatujaibiwa..ila tumepigwa kihalali.tutulie tujipange..na mkizidi kuleta malalamiko ya kitoto namna hii na mie nawahama soon.
Tumepigwa kisayansi..tutulie.chungu ila ndiyo tiba.