technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,843
Hi itasaidia kuondoa mawakala fake watakaojitokeza ili kuleta mchezo na kuwasaidia CCM kuchezea uchaguzi
Ikiwezekana kabisa mngeweka na picha zao na majina yao matatu.
Huu uchaguzi hatutaki mchezo kabisa.
Nashauri pia hamasisheni wafuasi wenu tarehe 28 saa 11 asubuhi wawe vituoni
Wahakikishe zoezi halianzi bila ya mawakalia wa Chadema na upinzani kwa ujumla hawajaingia ndani!!
Ikiwezekana hata wasimamizi wa kituo wazuiwe kuingia ndani mpaka wahakikishe mawakala wote wameruhusiwa kuingia sehemu ya chumba Cha kupigia kula
Ikiwezekana kabisa mngeweka na picha zao na majina yao matatu.
Huu uchaguzi hatutaki mchezo kabisa.
Nashauri pia hamasisheni wafuasi wenu tarehe 28 saa 11 asubuhi wawe vituoni
Wahakikishe zoezi halianzi bila ya mawakalia wa Chadema na upinzani kwa ujumla hawajaingia ndani!!
Ikiwezekana hata wasimamizi wa kituo wazuiwe kuingia ndani mpaka wahakikishe mawakala wote wameruhusiwa kuingia sehemu ya chumba Cha kupigia kula